Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Naomba kama kuna mtu anayeweza kurejesha istagram iliyodukuliwa anielekeze
2 Reactions
15 Replies
555 Views
Habar za muda huu wakuu....nina tatzo nahitaji msaada Akaunt yangu ya instagram imedukuliwa (hacked) naomba yeyote mwenyewe uwezo wa kufanya chochote ili irudi anichek PM ama kwa namba yangu ya...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Nawasalimu kwa jina la bwana Yesu Kristo. Kanisa linataka kununua wireless microphone kwa ajili ya matumizi ya kanisa. Ninaomba mnielekeze juu ya brand nzuri kwa bei isiyozidi 250000. Na ushauri...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Nimepata bahati ya wiki yote hii kutumia fiber ya simbanet (kwa ajili ya biashara), hii internet ina latency ndogo kiasi kwamba unaweza hadi kusahahu kama unatumia internet. Ni bundle ya 5mbps na...
4 Reactions
43 Replies
12K Views
Wakuu kwa Specifications hizo kweli hii ni J7 pro??
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Uwezekano huo upo?Mfano nataka TBC isiwepo kwenye list ya channel zangu,nanyaje?
3 Reactions
27 Replies
6K Views
Java. classHelloWorld{publicstaticvoidmain(String[]args){System.out.println("Hello World!");// Prints the string to the console.}} Swift. println("Hello, world!") Python print("Hello World")
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Ninahitaji kununua tablet Aina : Kubi Size ya kioo: nchi 10 Mtandao : LTE Android Version : 6 + Storage : 16gb+ Condition : New, unboxed Vingine vyote sawa. NB: Nimezunguka kkoo sijaipata kama...
0 Reactions
0 Replies
554 Views
Mimi ni mzalendo, nimeitikia wito wa kurudi nyumbani kwa sababu kumenoga!! Sasa cha kushangaza, TTCL inapatikana baadhi ya maeneo na maeneo mengine haipatikani kabisa, sijui nini shida. Lakini...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Habari JF? Naomba msaada simu yangu tajwa hapo juu nikipiga picha baada ya muda zunafutika. Msaada jinsi ya kutatua tatizo hilo
0 Reactions
20 Replies
4K Views
wadau anaefahamu jinsi ya kuzuia picha na video za WhatsApp zisiende kwenye gallery,msaada tafadhari.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Msaada upande wa ku upload videos cover YouTube.. App gan Ntumie kwa cm Yangu ya android
0 Reactions
1 Replies
579 Views
Miaka 4 iliyopita matangazo ya IT services kama blogs, website, database, payroll system, hosting, software and hardware maintenance yalikua on fire kweli kweli so what happened now days? Kwa...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kuna wakati ukiwa una cheki video za youtube kuna uwepo wa matangazo (ads) ambazo kabla video haijaanza huwa yanatokea na kuna option ya kuyaruka kwa kuminya "Skip Ad", Je haya matangazo yapo...
5 Reactions
11 Replies
8K Views
Kwa kununua dish la Free Channel, utapata Local Channels karibu zote, kama sio zote kutegemea na eneo, pia utapata channels za nje zaidi ya 40 ikiwamo TB Joshua, Al Jazeera, Muvi TV, Nollywood...
18 Reactions
166 Replies
32K Views
Hii app/ prog inaitwaje ya kuedit picha hivi? Yaani kwingine kote kunaonekana black lakn sehemu moja tu unaweka rangi. Mfano huo hapo chini
3 Reactions
21 Replies
9K Views
Habari wana JF, Natumaini wote hapa mko salama na mnaendelea na shughuli zenu za ujenzi wa Taifa. Leo hapa Tanzania Tech tunafurahaa kuwaletea huduma mpya ya INMylinks. INMylinks hii ni huduma...
5 Reactions
12 Replies
1K Views
wanabodi, huwa najiuliza hili swali kwa nini makampuni makubwa kama vile Facebook ,yahoo,Snapchat nk. huwa yanatoa taarifa hadharani Mara udukuzi unapokuwa umefanyika kwenye mitambo yao hata kama...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
sumsung baada ya kutoa sumsung galaxy note 9 huku wakiisifu kwa hali ya juu kuwa ina speed kubwa huku ikiwa na prosesa ya snapragoni 845 lakini haijafua dafu kwa iphone xs max huku iphone xs max...
0 Reactions
28 Replies
5K Views
Habar wana jf Tufunzane kidogo kuhusu hili hiv ulishawahi kujiuliza whatsapp zinaweza kaa mbili kwenye simu moja na namba inakuwa moja au vip bac najua wajua namimi nakujuza Inawezekana kabisa...
2 Reactions
77 Replies
21K Views
Back
Top Bottom