jana google wametoa toleo lao la google pixel 3 likiwa limeiga kutoka apple likiwa notch je watashindana na apple ?
Google Pixel 3 - Full phone specifications
Habari! Tume waletea huduma bora ya ku Unlock Iphone Yako bila kuweka GEVEY ili kuweza kutumia laini kama kawaida Gharama ni nafuu..
Iphone 5,6+,7+,X Muda wa ku Unlock Dakika 20,15
Fika Ofisini...
Habari zenu ndugu zangu, naomba msaada namna ya ku secure i pad ambayo password zake zimesahaulika kwenye upande wa iClaud naomba kujulishwa namna bora ya kufanikiwa...maana siwezi kupakua...
Nina application nimeitengeneza na ipo live sasa ,hii application inahusika na kuonesha live streaming video ,mfano mpira unaochezwa Ulaya unaweza kuuona live kwenye simu yako kupitia application...
JINSI YA KUONDOA ERROR 77 KWENYE MITA ZINAZOANZA NA NAMBA 2421...*
*ERROR 77*
Hii ni error ambayo inapatikana kwenye mita tengano maarufu kama mita za rimoti au CIU ambazo zinafungwa juu ya...
JINSI YA KUFUFUA FLASH ZILIZOKUFA
Najuwa raia wengi sana mmejaza flash ambazo ni mbovu majumbani kwenu au kama sio hvyo mmeshatupa flash nyingi sana kisa zimeharibika pasipo kujuwa flash yako...
Wale wapenz wa NFS series..baada ya kusubir crack kwa muda mref hatimae imetoka...
Pakua hapa hii ya fitgirl
Download Need for Speed: Payback - Deluxe Edition (v1.0.51.15364 + All DLCs, MULTi10)...
Wakuu, hawa jamaa wami-encrypt faili zangu na software zangu huku wakitupia text hii. Pitia mnishauri plse
---= GANDCRAB V5.0.2 =---
***********************UNDER NO CIRCUMSTANCES DO NOT...
Nimeona tigo wanaiuza Tshs 450000/=
Ila inaonekana ni ya kizamani sababu ina betri ya kutoa.
Vp ubora wake? Kuna mtu anaiuza kwa shs 300000/= na haina mwezi tangu amenunua.
Cc. Chifu mkwawa
C&P from Evarist Chachali
Tukubaliane kwamba japo wengi wetu twapenda kutumia mtandao, hususan kutembelea mitandao ya kijamii kama vile Faceboo, Twitter, Instagram, nk bado kuna uelewa mdogo wa...
Nina simu aina ya tekno spark KA7,tatizo ni kuwa ukituma message inagoma kwenda na ninakifurushi cha mwezi kabisa na kuna mda unakubali ila inabagua laini.wakuu wenye uelewa anisaidie
salamu wadau
najaribu kuinstall window 7 kwenye dektop yang but ikifika ile hatua karibu na kumalizia inaniandikia
"window cannot install required files. the file may be corrupt or missing. make...
Habari ndugu zangu, nina techno w5 niliifanyia factory reset sasa wakati wa kureboot nimekwama imeleta option ya
Kuunga Wi-Fi nikijaribu kuunga inataka niwashe Wi-Fi nasijui hiyo Wi-Fi inawashwaje.
Wadau najua kuna thread nyingi tofauti tofauti, ila nimeona nifanye kitu hiki kwani mimi ni mmoja wa wahanga wa luku. ninaishi kwenye nyumba ya kupanga, sina vitu vya kiviile vinavyotumia umeme...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.