Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
[emoji777]Closed[emoji777]
1 Reactions
209 Replies
30K Views
Wakuu nina simu imekufa kioo. Nataka nipate baadhi ya data zilizomo kwene cm tatizo nikiweka kwene computer inanambia folder empty ili hali picha zipo na data zingine zipo naomba msaada wakuu.
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Nina tecno CX air.Whatsap inashindwa ku update.Nimejarib na apps zingine pia inashindwa ku update.Nimejaribu kuzima na kuwasga,kutumia wi-fi nimeshindwa.Wandugu naomba msaada wa hilo...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Kama mada inavosema kwa wale beginners was c++ tupeane maujuzi.
0 Reactions
0 Replies
702 Views
Pc yanguu inatatizoo nikiwasha feni inazunguka afu inakata lkn kweny screen aioneshii,ttz ninii wakuu??
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari! Wakuu napenda niende moja kwa moja kwenye shida yangu. Kwa ufupi tu Kuna NGO ndogo ina member kama si chini ya 11 hivi moja kazi zake ni kujihusisha zaidi na matatizo ya jamii na kujiweka...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wajuzi wa mambo mnisaidie
0 Reactions
8 Replies
10K Views
Nilikua na type kazi kwenye Ubuntu ghafla file likawa corrupted sahivi halifunguki kabisa. Nimechange kuwa docx lakini wapi sijafua dafu pamoja na kufungulia kwa window OS. Nisaidieni powerful way...
0 Reactions
0 Replies
514 Views
hivi humu ndani tunashindwa kweli kugeana support ya kusubscribe channel zetu za youtube na tukafikia malengo ya kupata hizo dollar zao sambaza upendo kwa kusubscriber channel za youtube
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakulu nina mkanganyiko na smart card ya samsung tv inch 32 inakuwaje hii ki2 mwenye ideas please help me nakosa Free channel
0 Reactions
3 Replies
883 Views
Habari ya mchana bandugu bapendwa. Nilikuwa natumia TECNO J8 nikaiacha nikanunua TECNO CA7 (Camon X). Nilivyoanza kutuma Camon X nilitumia email yangu ya gmail na namba zote zilizokuwepo kwenye...
0 Reactions
6 Replies
18K Views
Habari wakuu! Natafuta kioo cha Tecno phonepad 3 naweza pata duka gani kkoo na kwa kukadiria ni kiasi gani?
0 Reactions
0 Replies
955 Views
nilikua na simu ya xperia z3 clone/feki nkadowload app ya cpu z ikanisomea specification sawasawa na zile za gsm arena yan kila kitu okay. simu ilianza kunipa wasiwasi kwa camera yake mbovu...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Hodi waungwana. Jana nimefungua akaunt ya eastpesa lakini kuverify imekuwa shida, nashindwa kutuma viambatanishi km picha, id etc Naomba kwa anaefahamu anisaidie
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ebwana vipi Kupitia YouTube nimeamua kufungua kaChannel kangu kanachohusu Tech....yaan matatizo yote ya Technology kuhusu simu yako na Web kiujumla. . Leo nataka niweke video 5 za Mwanzo lakini...
0 Reactions
4 Replies
708 Views
mi mmoja wa wadau wa hil game tena npo addicted bt tatzo cjawah kulcheza online..embu naomba mnielekeze namna ya kucheza kwasabu nkicommand ile sehem ya kucheza online inatafuta match thn inafel...
0 Reactions
4 Replies
781 Views
Najua neno hili tunaliskia sana na kuliona kwenye camera zetu, lakini je tunajua lina maanisha nini Kabla ya megapixel (MP) inabidi kujua pixel ni nini Pixel ni viboksi vidogo vidogo ambavyo...
5 Reactions
11 Replies
5K Views
Wakuu Hili tatizo hii nisimu yangu ya tatu kunitokea.....ingawa synch iko activated....huwa inafanya synchronization lakini baada ya muda fulani unakuta zimefutika kotekote au majina hayaonekani...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Nataka nirudi dukani nikanunue simu mpya ila nimeona ni kheri nichukue ushauri then nikafanye manunuzi .KARIBUNI KWA USHAURI
1 Reactions
26 Replies
6K Views
Back
Top Bottom