Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
katika programing language hasa html5&CSS ndio lugha nilio anza nayo na nahitaji kubobea katika hii lugha na web designing ila kuna changamoto mbalimbali amazo zinanikabili katika safari yangu...
0 Reactions
9 Replies
938 Views
Natafuta fundi mzuri anibadilishie display ya cmu yangu aina ya LG Q6 display nnayo mm ntakacho mlipa ni ufundi tu
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Good morning Wadau ningependa kufahamu kwa hapa nyumbani (Tanzania) Mitandao yetu (Vodacom, Tigo na Airtel) inatumia LTE(4G) bands zipi? Nimejaribu kumuuliza rafiki yangu google lakini...
1 Reactions
7 Replies
8K Views
Nani anafahamu offisi za wakala wa nokia zilipo hapa dar au wapi naweza kupata original battery for nokia n95 8gb?
0 Reactions
4 Replies
12K Views
Heshima kwenu wakuu. Kama mada inavyojieleza naomba mnisaidie app inayoweza kurekodi internal sound/audio. Au sauti wimbo unaocheza online kwenye site za music ambazo hazina option ya...
0 Reactions
0 Replies
889 Views
Wanasayansi kutoka vyuo vikuu vya Harvard na Yale wapendekeza njia ya kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa Kwa mujibu wa tatifiti walizozifanya wamebaini inawezekana kupulizia kwenye anga...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nahitaji ambaye anaujuzi wa kuunganisha bando ya internet mtandao wa Vodacom kwa gharama nafuu tofauti na vifurushi vilivyo rasmi. Malipo yawe baada ya huduma, nasubiri ofa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Msaada wadau, timu za england hazina jezi official naombeni msaada namna ya ku import kama inawezekana pia kwa pes17 naona spain napo hazina jezi official,, zote ni pc games
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari ya ijumaa.. Si vibaya tukazidi kupeana elimu kidogo huku tukiendelea kufurahia vema siku muhim leo ya duniani kote ya (BLACK FRIDAY). Ningependa kukueleza jambo moja kuhusu matangazo ya...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
wadau naomba msaada wa namna ya kuifanya mtandao wa instagram zile video zisiplay zenyewe, si mnajua mb zenyewe za kuungaunga, natanguliza shukrani[emoji1317][emoji1317]
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nmeangusha HDD kutoka mezan na nlipokonekt ktk PC ilionesha partitions tu ikabid niifungue kuchek ndan kulikon! !! Hv sasa inaspin tu pas kuonekana ktk PC. Tafadhal Mwene utaalamu na HDD anisaidie...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Helow wadau, naomba msaada wa kimawazo.. Technically Leather sofa yang ya ngoz rangi ya cream imechafuka wino kdgo,..... Ninahitaji kufuta je ni solution gan inafaa kuondoa!? Nilinunua solution...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Habari wakuu. Nimekuwa nikipata tatizo siku za hivi karibuni(ambalo limekuwa ni geni kwangu). Nikiinstall MS Office,napata message hii :"Microsoft Setup Bootstrapper has stopped working". Wakati...
0 Reactions
0 Replies
543 Views
Wadau habari za mchana,,mimi sina maneno mengi sana zaidi nataka kufaham matumizi ya black list kwenye simu.. Kuna jamaa yangu anadai kuwa ananitumia text lakini mimi sizioni yeye anasema ujumbe...
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Katika ulimwengu wa leo nywila au password si jambo geni. Mara kadhaa umeona au kutumia password katika vitu na maendeo kadhaa kama vile benki, simu, kompyuta n.k. Jambo la kushangaza ni jinsi...
3 Reactions
1 Replies
2K Views
Wizi ni wizi tuuu!!!uwiano wa dakika tunazouziwa na mashirika ya simu ni tofauti na dakika za SAA zetu???na kama ni sawa mbona zile zinakimbia sana??hivyo hivyo MB tunazouziwa ni tofauti na mb...
5 Reactions
44 Replies
3K Views
Habarini za muda wakuu,kama ilivyo ada ningependa kufahamu au kupata maelezo kuhusu linux,kali linux na unux. Karibuni!
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nahitaji kununua simu aina ya tecno K7. Nimeipenda kwa sababu ina **fingerprint** Je, ni kweli fingerprint haitaruhusu mwingine kufungua au kutumia simu yangu? Yaani hata kama anaijua password...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Samahani ndugu zangu ninashida kwenye king'amuzi changu cha Startimes cha dish. Kilipoteza baadhi ya chanel nikafanya factory reset . Sasa ninapoendelea kusearch inagoma kupata chanel na...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom