Juzi waliniletea Ni update simu yangu nimekuwa nikifanya hivyo kila update mpya ya iOs Inapotoka
Sasa Juzi baada ya Ku update simu yangu,Nimekuwa napata tatizo la CALL VOLUME,Inakuwa Low Sanaa...
Je Wajua umeme ni Nini?
(What is Electricity)
Kabla hatujaanza kupata taarifa na elimu kuhusu umeme kwa ujumla ni lazima tukajua umeme ni nini. Hii itatusaidia kuweza kuanza pamoja na kujua...
Kila nikidownload WhatsApp inajiinstall baada ya masaa machache haifunguki inaleta ujumbe wa WhatsApp is to old "download" new nikidownload inaleta hivyo hivyo
Hey there everyone,
Leo nimeona niwashirikishe members on what i think is a good way to earn an extra income online. It is through freelancing website fiverr(link mwisho wa post)
Nimekuwa member...
Habari ya jukwaa pendwa, naomba mnisaidie shida ya printer tajwa hapo juu "ON lamp and ALARM lamp light flashes alternatively 22 times" when printer is switced on
UKIANGALIA katika simu yako ni dhahiri Application nyingi ulizopakua ni za bure. Wote tunapenda App za bure.
Mara nyingi App za bure zina gharama ya faragha (privacy) wakati wa kuziingiza...
Wakuu habari za kazi.
Nime download software 6.5 gb iliyo compressed katika Winrar lakini imewekewa password.
Nimeelekezwa kupata password mtandao fulani lakini naona kila nikienda huko...
Husika na kichwa cha habari tajwa hapo juu .
Nakuuzia file lake kwa shilingi elfu 10 tu utaflash simu na itakaa sawa coz ni tested file by me also i confirmed that for 100% percentage u will...
naombeni msaada wa kuondoa E0000-0000 kwenye photokopy mashine Ir 2202 ilianza na error E200-0000 nikaondoa lakini sasa inaonyesha hivyo nimejaribu kuondoa haitoki msaada kwa uzoefu zaidi
natumai wote ni wazima hapa jukwaani
bila kuchelewa naomba niingie kwenye point
hapo nyuma kwenye mwezi wa 10 nilinunua simu aina ya iphone 6plus kwa mshkaji katika process ya mauziano jamaa litoa...
Habari wana jamvi?
Natumia window 10 katka pc, sasa siku za karibuni nimekuwa nikitumiwa message your window licence will expire soon, nimeenda katika option ya setting, nika donwload ili ni...
Habari zenu wakubwa.
Naomba msaada jinsi ya kuondoa root kwenye sim ya galaxy s8.
Nitashukuru kama nitapata msaada unaoelekeza mwanzo mwisho jinsi ya kuondoa root maana mimi sio mtaalam wa haya...
KASI Internet is a new Internet access Solution from Vodacom Plc that provides you with unlimited data connectivity.
With KASI Internet you are able to browse and surf the web, send emails...
Hello family , i am kindly asking for guidance on how to implement my final year project at the college. My project proposal was about how you can detect leukemia at the early stage using machine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.