Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
kwema humu wakuu.. najua weng wetu tunatumia cm janja na apps nyng nyng.. nlkuwa mm
0 Reactions
49 Replies
7K Views
Naomba msaada Iphone 6s haifungui Itunes store badala yake inakuwa hivi
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hello Technicians! Mimi ni 'old school' kidogo na niko natumia simu hii bold 9000. Sasa nina changamoto kadhaa. 1. Nilikua nikitumia kifurushi cha Vodacom Social nilikua nina access net bila...
0 Reactions
6 Replies
997 Views
Tatizo hili hutokea pale tu inapofutika IMEI number au baseband file, kama una tatizo kama hili inabidi uangalie kama IMEI number au baseband inasoma null. IMEI number ni rahisi kuiangalia kama...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Nimelala nikaamka na akili zangu za usiku, nikawaza sanaa, Kwa nini app, system,site nyingi za Tanzania huwa zinazaliwa na kufa kwa muda mfupi? Kwa nini hazitoboi? kwa nini hazipati nafasi ya...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
nimefanya research nimegundua Subaru forester ni gari nzuri hasa kwa barabara zetu na hali halisi tuliyo nayo parts za subaru kama bolljoint, shock up,cv joint,rack hand zinadumu kwa muda mrefu...
0 Reactions
18 Replies
7K Views
wakuu sina hakika kama hapa ni mahali pake. naomba msaada jinsi ya kubadilisha jina kwani ningependa kubadili jina nitumialo "kafara". hata hivyo nimeshindwa pata jinsi ya kufanya hivyo...
0 Reactions
5 Replies
7K Views
Wakuu habari ya xaivi??? naombeni utatuzi kwa anae faham namna ya kubadili jina JF anipe maujuzi
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Kwa wale wajuzi naomba mniambie kama ninaweza transfer funds from paypal kwa kulink payoneer master card coz kuna client wangu ameanza kulipa via paypal siyo payoneer au bank wire tena kama...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Nimepoteza cm yangu asubuhi ya leo, naweza vp kui track au ku block?
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Nimekuwa nikikumia App ya ZeMGame kwa miezi mitatu sasa, Katika hii miezi mitatu idadi ya wateja katika baa yangu imeongezeka kwa asilimia 93%. Hii ni kutokana na kuwa ZeMGame imewawezesha...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani naomba kuuliza, hivi bank za tanzania zina api? specifically open apis. If so, how accessible are they?
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Naomba msaada Friji langu linawaka kwa muda wa dakika 8 mpaka 10 linakata moto shida ni nii
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nahitaji simu aina hiyo ambayo ni used gharama yangu ni 250,000/=
1 Reactions
2 Replies
595 Views
Habari za usiku wadau wote wa umeme,, kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza tunajua kwamba imezoeleka wiring kwenye corridor fupi unaweza tumia switch mbili za 2 way na intermediate...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Startupper of the Year - STARTUPPER OF THE YEAR BY TOTAL - [TANZANIA]
0 Reactions
0 Replies
442 Views
Startupper of the Year - STARTUPPER OF THE YEAR BY TOTAL - [TANZANIA]
0 Reactions
0 Replies
403 Views
Nmeangusha HDD kutoka mezan na nlipokonekt ktk PC ilionesha partitions tu ikabid niifungue kuchek ndan kulikon! !! Hv sasa inaspin tu pas kuonekana ktk PC. Mwene utaalamu na HDD anisaidie coz...
1 Reactions
6 Replies
424 Views
MWENYE SERIAL KEY YA, Driver Downloader, Tafadhari
0 Reactions
0 Replies
420 Views
Back
Top Bottom