Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Tunakutengenezea blog nzuri kwa sh elfu 10 tu na tunakuunganisha na matangazo ya kukulipa kila mwisho wa mwezi. Unatakiwa kuwa na simu ya smartphone au kompyuta tu ili uanze kutengeneza pesa kwa...
3 Reactions
70 Replies
8K Views
Nina freezer linanisumbua....limepungua nguvu ya kugandisha now linafanya kazi lakini sio kama zamani nimejaribu kubadili gesi na condenser kama nilivyo shauriwa lakini wapi.... kuna mtu ana...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Habari zenu wanaJF. naomba leo niulize swali hili kwa wajuzi wa mambo maana naamini humu ni kisima cha maarifa.. najua kuwa mamlaka yetu TCRA inao uwezo wa kujua unaowasiliana nao aidha kwa kupiga...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Jaman naomba msaada. Nataka ku-unlock simu yangu hii kwa kutumia fingerprint tu. Cha ajabu inatorce nitumie na pattern. Tafadhali naweza fanyaje? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
869 Views
Habarini za jion wanajukwaa.Kama kuna mtu alishawahi au anatumia njia ya wire transfer kulipwa na google ani pm faster its urgent
1 Reactions
1 Replies
1K Views
wadau naomba tuelezane ukweli hivi kweli mtu unaweza kutoboa maisha kwa kuwekeza kwenye cryptocurrency . Nimeshangaa ethereum iliyokuwa imepanda mpaka $150 January 1 mwaka huu eti Leo iko $127 na...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakuu heshima yenu,Naomba kujua ni vifaa gani ninavyohitajika kuwa navyo napotaka ku configure mawasliano ya simu ya ndani ya ofisi yangu na pia ni wapi naweza kuvipata vifaa ivyo pia gharama zake...
0 Reactions
3 Replies
985 Views
Habar ndugu zangu naomba msaada wenu kwa anaye jua jinsi ya kutengeneza app Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Movie ya 1.5GB nimeishusha kwa dakika tano kwa simu Simu yangu niliswichi 3G kwa mda mrefu sasa leo nikairudisha automatically 4G,3G, 2G ....nikaona imesoma LTE..nikajaribu kuingia YouTube...
1 Reactions
41 Replies
5K Views
Habari zenu wakuu,najua huku kuna wa2 wengi sana wanaoweza kufahamu sana na kuweza kunishauri ni ipi inafaa kati ya hizi,maana kwangu mimi hii ndo itakuwa mara yangu ya kwanza kununua gari Xo ipi...
2 Reactions
55 Replies
21K Views
Habari wakuu! Nimepata majanga simu zangu zimeharibika zote kwa wakati mmoja yaani zimepishana kwa masaa tu. Infinix S2 Pro imevimba battery,Samsung J3 Prime imekata moto ghafla.Infinix...
0 Reactions
41 Replies
3K Views
Brand Lenovo au HP Core i5 - 8th generation 1TB HDD 8gb ram Guarantee: 1 year
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari wadau kama kichwa Cha habari hapo juu kipi ni Bora kuzidi mwenzake Msaada wenu please.
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Chif mkwawa, na wengine juzi nilipigwa kimeo changu cha nokia xl, so nilikuwa anti theft lakin ya kaspersky ambayo kiukweli haijanipa msaada wowote kama kuna mwenye uzi basi aulete namna ya kuiblock
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Wadau salama, Kwa wataalamu wa mambo ya miziki garini, namaanisha redio za kwenye magari nahitaji msaada kidogo. Nimenunua Kenwood Radio ya kwenye gari model ya 2018 (KDC-X303) Nahitaji kujua...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
[emoji778].... *Ni kwann wenzetu nje ya Afrika* wanahangaisha ubongo kutafuta ugunduzi mpya wa mambo mbalimbali hasa ya technology,, lakini sisi huku Afrika hatuwezi?? Unadhani tatizo lipo...
1 Reactions
53 Replies
5K Views
Mi najishughulisha na mambo ya video editing hasa za sherehe za harusi , mikutano n.k. Kwenye kutoa kazi iwe kwa file au ki burn DVD ndio shidaaa inakuwepo. Rendering inaweza kufika masaa 4 hata...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
si ajabu kama vipaji tunavo vicheka tukazidi kuvipeleka gizani.kwa ghana ni tofouti na nchi za afrika kiufupi. historia kiufupi. kantanka ni kampuni ambayo ilianza kama mbengu kuanza...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ninatumia laptop aina ya Lenovo T440p. Nimeiwasha inaonyesha kua imewaka lakin screen imegoma Ku display (kuwaka). Mwenye shortcut ya namna ya kufix hili tatizo anisaidie tafadhali. Sent using...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Back
Top Bottom