Habari wanajamvi.
Nina CM yangu Tecno k9 spark. Tokea Jana nikifungua kamera haipigi picha. Na tochi haitaki. Kwa mwenye kujua tatizo linakuwa lipi naomba msaada.
Au je ninaweza kwenda makao...
Habari...Kuna Ukweli Juu Ya Kuweza Kutumia Android Apps Katika Ios Yaani Iphone,Ipod,Ipad Devices??Na Kama Ni Kweli....Nani Anazijua Hizo(Tricks)[emoji2]?
Nimeendelea kumchimba jamaa anayenipa taarifa za App yao ambayo inafanya kazi kama Uber ameniambia Madereva tutaweza kufanya biashara hata kama hatuna Smartphone. Ila Abiria watalazimika kuwa na...
Najua JF ina wataalam wengi, ningependa kuongeza muito (message alert) kwa upande wa MESEJI kwenye simu ya Samsung, hivi inawezekana? Msaada tafadhali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba msaada kwa anayejua App ambayo naweza kutazama futiboli ligi kubwa kubwa, kwa kuanza na mechi inayoendelea muda huu kati ya Spurs na Chelsea.
Nimejaribu kudownload App kama tatu lakini...
Nmeleta kwenu huu uzi ili kufunguana macho, kuelezana kinagaubaga kuhusiana na biashara hii ilioegemea kuhusu Internet.
Dunia imebadlika sikuizi manunuzi na uuzwaji siku hizi unafanywa online...
If you need an application to change your voice, there are a number of applications that perform this task on Android, and in this article we review the best applications of sound change and away...
Nimepata laptop nyingine sasa nataka kubadirisha HDD Kwenda kwenye laptop hii ya sas. Je inawezekana kuhamisha HDD bila ku install window mpya, kwani nina vitu vingi ambavyo sipendi kuvipoteza...
Jaman mmi nina swali
Je nkiset satelite ya startimes wanayotumia na kwenye reciever ya mediacom ntaweza pata channel zote zinazorushwa na startimes kwakua kuna kipindi nlikua na continental...
Habari wakuu!!
Hapa Nina smartphone yangu,
Nikiuliza IMEI zake zinafanana Kati IMEI ya SIM 1 na SIM 2,Hizo IMEI zitakuwa zimebadilishwa? Na kama zimebadilishwa nafanyaje kuzirudisha IMEI za awali...
Salaam
Nilinunua Iphone 6 cha mkononi, yumkini niliweka Icloud na bahati mbaya simu ikakorofisha, kuoeleka kwa fundi akaifrimat na ikaanza kuniuliza nywila ya Icloud
Nimehangaika hadi kwa...
Wasalam wakuu, naweza kupata usb board ya printer Hp Printer Laser jet M1132 Mfp, nimejaribu kuaangaika nilipo nimekosa, huko ebay bei ndo hivo tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu nina Samsung galaxy s3 Alps (clone) mda wote inasoma edge. Nimejaribu kila njia ili nipate 3G lakini nimeshindwa, Najua humu JF kuna wajuzi wa kila namna hivyo naomba msaada wenu kuiswitch...
EXCHANGE DEAL ADSENSE IMESHAPOKEA BARUA KWA ADMOB ILIYOPOKEA BARUA NINAYO ADSENSE AMBAYO IMESHAPOKEA BARUA MARA KADHAA ILA SAIVI NATAKA NIHAMIE KWENYE APPS SASA NATAKA NIEXCHANGE NA MTU MWENYE...
Salaam wakuu!
Napata shida kuona inbox, sent, draft n.k(gmail dash board)!
Tatizo ni nini wakuu? Na ni jinsi gani naweza kutatua hili tatizo?
Napata display kama hii hapa chini baada ya ku'sign...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.