Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Msaada wenu wakuu MNA nishauri nichukue zone type ya ad IPI maana naona popup au onclick zina shusha traffic yangu
0 Reactions
0 Replies
667 Views
Leo nilijikuta najiuliza, hivi inakuwaje search engine ya google inakuwa na jaarifa nyingi na up to date kuhusu mambo mengi hapa duniani? Wanawezaje kukusanya taarifa zote hizo wakati hawapo kila...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wana jukwaa Nina cm yangu storage yake inajaa tuu yenyewe automatically naomba msaada jinsi ya kusolve hili tatizo asanteni
0 Reactions
3 Replies
859 Views
Natumai mu wazima Naomba kupata msaada juu ya simu yangu( samsung A3) inakataa kuingia chaji na kuandika NOT CHARGING NA KUANDIKA OVER HEATING HATIMAYE KUJIFUNGA APPLICATIONS ZOTE ZINAKUWA...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Nahitaji Kujua Kwa Ambae Anaelewa Vizuri Hii Kitu, Nimewahi Kusikia Kua Unaweza Kuongea Na Mtandao Wa Simu Wowote Unaotaka Na Wakakupa Server Maalumu Ya Kwako Ambapo Utakua Unatumia Unlimited...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Ivi lenevo yenye procesor 2.5 na HDD 500 GB naeza pata kwa bei gan????
0 Reactions
2 Replies
763 Views
Baadacya kuharibika kioo nilipekeka kwa fundi, simu imerudi inafanya kazi ila ikienda slerp mode/standby kama simu zote isipotumika dakika kadhaa inakuwa blackscreen na huoni kitu, ila unasimu...
0 Reactions
6 Replies
698 Views
Msaada wenu wakuu maana hii laptop ni yazamani sana toka Tanzania inapata Uhuru nisaidieni kama inawezekana algorithm Sijuti mjumbe wa bwana
0 Reactions
1 Replies
890 Views
Habari wakuu,naomba mnifahamishe inawezekana kuichakachua router ya smile ?? ikawa inaingia line yoyote? aina ya dualcom franklin technolgy 702??,mwenye kuua naomba msaada wake tafadhali?
0 Reactions
1 Replies
868 Views
Msaada wenu wa kuu tangu nipewe kazawadi na mama yangu mpedwa mwaka 2013 nilipo faulu vizuri matokeo ya darasa la 7 Ali ni nunulia PC ya dell latitude hizi laptop ni old sana sasa hivi inawezekana...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, mimi ni mjasiriamali mdogo ambaye bado nakua, lakini nilikua nimepata fursa kwa kutoa huduma zangu kwa kutumia msaada wa call center. Je unahitaji vitu gani ili uweze kufungua...
1 Reactions
28 Replies
3K Views
Habari wakuu naomba msaada katika mambo kadhaa katika blog+adsense 1.setting nzuri ya adsense codes 2.tricks za adsense za kuweza kupata $5 kwa siku au zaidi ikimpendeza ila ziwe tricks ambazo...
0 Reactions
33 Replies
2K Views
JIHADHARI: UMEME UNAUA Habari ndugu, pole na miangaiko ya hapa na pale kadhalika, mshukuru MUNGU kuzidi kukupa pumzi ya uhai hadi leo. Bila ya kupoteza muda, twende katika mada husika moja kwa...
6 Reactions
19 Replies
42K Views
Nimenunua wino wa unga lengo langu nikurefill kwenye cartridge iliyokwisha... Nilipewa ushauri na mdau wangu cz yeye anarefil, aliyenielekeza ili linamtatiza... wino wa unga ambao niliagiza bahati...
0 Reactions
8 Replies
900 Views
Wanateknolojia habari ya j2 Kama mada inavyojieleza Naomba mnijuze app nzuri ambayo nikiiweka kwenye simu yangu nazuia SMS na calls zisiingie kabisa kwenye simu yangu. Kuna baadhi ya app...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Ninahitaji Motherboard ya Dell Optiplex 990 Mini tower au Small Form Factor mwenye nayo tuwasiliane PM
0 Reactions
1 Replies
642 Views
NIMECHOKA BAADA YA KUSOMA HAPA MASWALI YANGU KICHWANI KUHUSU HAWA JAMAA YAMEISHA How Google detects AdSense click fraud Google AdSense click fraud detection. The famous AdSense network is one of...
2 Reactions
3 Replies
663 Views
Habari zenu wakuu! Naomba kufahamu kama simu yenye uwezo wa DC-HSDPA inaweza kufanya kazi kwa 3G networks za Tanzania?
0 Reactions
5 Replies
928 Views
Mwenye kujua simu aina hii naomba ushauri kuhusu uimara wake na udhaifu wake
0 Reactions
1 Replies
811 Views
Kama inavo eleweka kuwa google ni mtandao kwajili ya kusearch yaani (Search Engine) kwa wengi wetu tunaifahamu google lakini sio kiundani sana kwa maana pia google inatumika sana sana na watu...
5 Reactions
14 Replies
7K Views
Back
Top Bottom