Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari wapendwa.. Mara ya kwanza nilivodownload uttorent app,ilikuwa inadownload movie kwa speed sana.. Ila siku hizi speed imeshuka mpaka 2kb/s.. Nikacheki YouTube wanashauri kutumia VPN..VPN app...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Ipi ni simu star duniani kati ya iphone na sumsung?
0 Reactions
126 Replies
12K Views
PAWAHOST.COM sasa inatoa offa kabambe kwa huduma mbalimbali,Kama ilivyoorozeshwa hapo chini:- 1. Utengenezaji wa Website kwa gharama kuanzia 150,000/= 2. Utengenezaji wa mifumo mbalimbali kama ya...
0 Reactions
0 Replies
581 Views
Wadau habar zenu! Naomba kwenda moja kwa moja kwenye mada! Ni hivi nahitaji kupata PC yenye specs nzuri ktk affordable price... nkiwa na maana PC yenye uwezo wa ku run heavy duty softwares and...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ni huawei y520 u22, tatizo kubwa ni kutoa notification tu. mara android stoped, mara gsm stoped hivyo tu kila wakati. nimejarib kuifnyia factory reset pamoja na hard reset lakn imeshndkana...
0 Reactions
2 Replies
793 Views
Habari zenu wana jukwaa la TGSF kumekua na matangazo ya kuzifungia simu znazotumia mfumo wa android ifakapo mwsho wa mwezi huu wa march....Je kuna ukwel kwnye hili? mwenye kujua chchote plz share...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wakuu, Rejea zako hapo juu, Simu yangu aina ya m3 tecn ilianza kwa kujam sana nikaipeleka kwa fundi ikawa fresh kidogo baada ya siku tatu ikazima jumla, ni nini tatizo wakuu?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wakuu, Hivi juzi kati kuna mtu alinunua risiva ya Digisat 9800 plus HD akanunua na dish futi 8 la bati akawa anahitaji chaneli za mbc pamoja na hbo sasa nikaset uelekeo wa nilesat...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Mwenye hii modemu anitafute kwa ajili ya kuniuzia, iwe hivi hivi AIRCEL... Au mwenye kujua wapi nitapata msaada tafadhali...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu habari? Flash yangu nikiitumia kwenye simu ya iPhone inajiweka offline baada ya muda kidogo, yaani kila baada ya dakika 2 au3 inajiweka offline lakini nikiitumia kwenye computer au kwenye...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Habari zenu wakubwa,,, naomba mnisaidie,inawezekana kurudisha picha zilizofutwa kwenye memory card zikiwa na quality ile ile? kama inawezekana nisaidieni.
0 Reactions
5 Replies
702 Views
Wakuu mko poa huu uzi ni Kwa ajili ya kuwakumbusha kuwa Voda wamebadili vifurushi vyao vya ofa maalum inayopatikana Kwa menyu ya *149*03# mm nimehatika round hii wamenipa five gb Kwa elfu mbili...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
.
0 Reactions
6 Replies
992 Views
Habari za leo wanandugu, Nina friji yangu kila nikiiwasha tu umeme unazima nyumba nzima (circuit Braker inafanya kazi yake)nikatafuta fundi wa kwanza akasema compressor ina matatizo, nikaona...
0 Reactions
3 Replies
8K Views
Am in need of a good program which download videos and other documents from all angles without complications
0 Reactions
5 Replies
588 Views
Salaam wakuu. Nilitaka kubadili window kwenye laptop yangu, sasa nikajisahau kama nilifanya partion ya GPT (partion baada ya kuwa nime instal window). Sasa wakati nabadili window nikawa nimesha...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hard disk external kwa buku 35 tu.. 0764118083
0 Reactions
5 Replies
799 Views
Naomba kujuzwa app ya kuconvert faili la mp4 ili iplay kwenye deki, kama ipo maana yangu haiplay mp4
0 Reactions
2 Replies
970 Views
Kuna jamaa kanambia nijaribu kuweka cha Tecno W4 kwenye Sumsung J2'
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Naomba anaefaham app yoyote ile ya kutunzia SMS anisai niwe natunzia baadi ya SMS zangu
1 Reactions
0 Replies
592 Views
Back
Top Bottom