habari zenu wakuu,nimenunua just recently xbox 360 controllers for windows,bahati mbaya nikikonect kwenye computer inaniambia `the last usb device you connected to this computer malfunctioned and...
Rejea kichwa habari,nimelazimika kuomba kama kuna mtu anajua free blog template inayotumika kwenye blog kwasababu nnazotumia sa hivi zinakata matangazo kiasi kwamba napata pagiview nyingi kwenye...
habari, nliorestore simu yangu aina ya sumsung galaxy note 3, lakini kwa sasa program za google zoote hazitaki kufanya kazi, mfano; nkifungua playstore wananambia niupdate google play service...
TAARIFA
GOOGLE PLAYSTORE ITAFUNGIA SMARTPHONE ZOTE AMBAZO HAZIJA THIBITISHWA KUTUMIA HUDUMA ZOTE ZA GOOGLE
JINSI YA KUANGALIA KAMA SIMU YAKO IMETHIBITISHWA
1. Fungua Playstore nenda Settings...
Naunganisha PC na Home theatre kwa Bluetooth, connection inafanikiwa 100% lakini Cha ajabu niki-play audio file (music) bado sauti ya huo mziki unasikika kupitia PC nasio kupitia Speaker za Home...
habari za asubuhi ma-greater thinker.
Nilikuwa na flash simu aina ya tecno boom j5 ikaniletea error ya "brom error s_ft_get_memory_fail (4058)",naomba kujua maana yake na solution yake.
NAWASILISHA.
Wakuu sorry hii pc mwanzoni ilikuwa na window 10 ila baada ya kuchange na kuinstall windows 8.1 imeleta hili tatizo make inawaka lakini inashindwa kumalizia kuload finally screen inabaki kuwa...
Moja kwa moja ningependa nianze na programu hzo.
1)METASPLOIT FRAMEWORK
Metasploit ni software ambayo inatumia kanuni ya "exploit" ambayo ni code yenye uwezo wa kupenyeza katika system security...
Wakuu, nina app ya IPTV kwenye simu ila file la channels ( m3u ) sina. Nimetafuta sana nimekosa. Nimejaribu hata Ku Google namna ya kutengeneza m3u file ila pia nimeshindwa. Wakuu, tafadhali...
Installing whatsapp on your desktop/laptop is it possible guys to do that!!?
======
Baadhi ya watu tumekua tukihitaji kutumia baadhi ya application kama whatsapp na instagram kwenye pc zetu...
Hannah Devlin
Last updated September 2 2010
Modern physics leaves no place for God in the creation of the Universe, Stephen Hawking has concluded.
Just as Darwinism removed the need for...
HABAR! ladies and gents
naomba niende kwenye mada. Namiliki ka iphone 4 version yake ya ios ni 7.1.2 shda ni ukitaka kudownload vtu vya kawaida tu kama insta, fb etc iphone inakataa ku install na...
Watu wengi zama hizi wanatumia simu janja, sokoni ushindani mkali uliopo ni kati ya programu endeshi ya iphone[iOS] na android OS, leo tuone android ni nini? Na historia yake.
ANDROID NI NINI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.