Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wakuu habar zenu...katika simu za tecno ..Ni toleo Gani lina kaa na chaj mda mrefu ..?
1 Reactions
40 Replies
7K Views
Habari zenu wana jamvi! Nahitaji kununua smartphone nzuri kwa gharama isiyozid Tshs 720,000 naomba ushauri wenu nichukue aina gani mana najua hapa ntapata ushauri mzuri. Asanten
1 Reactions
15 Replies
2K Views
  • Poll Poll
Habari wana JF, Najua hili ni swali la watu wengi sana, lakini ningependa, kujua ni simu gani bora kwako kati ya simu za Tecno, Huawei au simu za iTel. Ningependa kujua kwa kuchagua hapo juu, pia...
2 Reactions
94 Replies
22K Views
Naweza kubadilisha battery ya simu na kuweka kubwa zaidi lakini ziwe zinaingiliana je kitaalamu haina madhara kwa simu.
0 Reactions
7 Replies
900 Views
Wakuu. Nili-reset simu yangu bila ku-save Documents zangu muhimu, na Kama ilivyo kawaida ya ku -reset kila kitu kinafutika, nami ndo hivyo kila kitu kimefutika. Baada ya kufuatilia nimeambiwa...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
wadau naomba msaada wa kufahamu hili,je! ninaweza kutumia mfano namba yangu ya laini ya tigo ambayo ninaitumia kwenye WhatsApp na namba hiyohiyo niweze kuitumia kwenye WhatsApp kwa simu yangu...
2 Reactions
5 Replies
699 Views
Nina elim ya form six napenda nisome Diploma ya ( Network&hardware au Network security au Multimedia) naomba mnishauri ipi kozi mzuri zaid kat ya hizo na vyuo ambavo naeza kusoma.
0 Reactions
0 Replies
586 Views
Nina elim ya form six napenda nisome Diploma ya ( Network&hardware au Network security au Multimedia) naomba mnishauri ipi kozi mzuri zaid kat ya hizo na vyuo ambavo naeza kusoma.
0 Reactions
0 Replies
400 Views
Ushauri plz. Ambayo ina uwezo mzuri wa kuhandle programs za kuchorea kama AutoCAD na archicad
1 Reactions
43 Replies
7K Views
Hi everyone, I'm new here and quite interested in your smartphone homescreen. I'm gadget geek from Japan and eager to reserach everyday use of smartphone in East Africa. As a part of personal...
2 Reactions
106 Replies
12K Views
Habari wakuu. Naomba kufahamishwa lile group la wataalamu wa Excell waliokuwa wanatoa huduma Kwa njia ya telegram. Walinisaidia sana kipindi kigumu cha kupanga matokeo ya watoto, kuanzia grades...
0 Reactions
0 Replies
675 Views
Nchini Uingereza taarifa imetolewa kuwa majivu ya mwanafizikia Stephene Hawking yatahifadhiwa katika eneo la Kanisa na jumba la makumbusho Westminster Abbey mjini London karibu kabisa na mabaki ya...
0 Reactions
1 Replies
790 Views
Nipo kwenye shida ya umeme nimejaribu kutumia sola lakn inahitaj gharama kubwa oz jua sio la uhakika has a kipindi huku cha mvua. Nikawa nawaza kutengeneza umeme wa bure. Namaanisha ninunue DC...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu nina Lg yangu ya 3D,inahitaji zile miwani za 3D ili niweze kuburudika kuiona EPL na UCL kwenye 3D. Ninaweza kupata wapi zile miwani kwa kununua?Na je zinauzwa bei gani?Msaada tafadhali
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari zenu humu mimi beginner kwenye field hii ya software engineering ninaomba msaada kwa wale senior/experienced software developers.. Ninapata taabu sana kwenye swala zima la ku-initiate...
0 Reactions
6 Replies
776 Views
Habari za majukumu wakuu mimi nataka tu share mawazo juu ya jutengeneza game development kwa hapa bongo najua wenye uwezo juu ya hayo mambo kuhusu game wapo wengi tu tatizo hawataki kushare mawazo...
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Telegram imepoteza kesi yake mahakamu kuu ya Urusi na imeambiwa itoe encryption key/funguo za msg zake kwa vyomba vya usalama vya Urusi, sivyo itafungiwa nchini humo. Funguo hizo zitaruhusu...
0 Reactions
3 Replies
770 Views
Wadau Amani Ya Bwana Iwe Nanyi! Nahitaji Kufanya Biashara Ya Kuonyesha Mpira, Naomba Msaada Kati Ya Projector Na Tv, Nahitaji Kuanzia Na Screen Mbili, Au Screen Moja Na Projector Moja, Naomba...
1 Reactions
16 Replies
6K Views
(1)Naomba msaada wa kupata kioo cha JUU cha sony xperia X f5122 (2)Na SONY SERVICE CENTER kwa Dar nitaipata wap? (3)Pia naomba ushauri wowote
0 Reactions
4 Replies
2K Views
VODA WAMEANZA KUGAWA LINE ZA 4G LTE Wanabodi Jana nilienda kuswap line yangu ya voda, baada ya kupewa line mpya nikaitia mfukoni maana nilikuwa na majukumu mengi. Nilipo pata mda ndiyo...
1 Reactions
167 Replies
20K Views
Back
Top Bottom