Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Naweka line yangu ya Halotel inaniambia Lite 3G na 2G .INA MAANA SI 4G NIIRUDISHE DUKANI HARAKA?
1 Reactions
14 Replies
888 Views
Wakuu habari, Kila nikifungua play store,Facebook, email,Browser nk,naandikiwa Maneno hayo. Nimesha restore sim Mara kadhaa lakini tatzo bado lipo pale pale. Msaada wakuu.
1 Reactions
22 Replies
6K Views
Wadau heshima kwenu... Nimejaribu ku-google hizi drivers za PDF ila sijafanikiwa kuzipata. Mwenye nazo naomba msaada anipatie ili niweze kufanya conversion ya MS word to PDF. Nitashukuru kwa...
0 Reactions
6 Replies
929 Views
Nakosa raha kabisa nitumiapo internet ya halotel. Internet inakata kila baada ya sekunde 3, inanilazimu kuzima na kuwasha data kila mara. Yaani baadala ya kufaidi, nimekuwa mtumwa wa kuzima na...
1 Reactions
34 Replies
2K Views
Watumiaji wa instagram naomba mnielekeze jinsi ya kuweka emoji kwenye post au comment za instagram kama vile emoji za moto nk kwakuwa navutiwa sana na zile emoji wanazowekaga watu! Sasa sijui zile...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
niko dizm.... rangi nyeupe.... used plis
0 Reactions
2 Replies
664 Views
Jaman ntafuta mtaalam anayeweza kutengeneza app ambayo itaweza kufanya kaz kwenye ios na adroid kwa aliye na ujuzi huo tafadhali anitafute kwenye no 0685000606 kwa whatapp
0 Reactions
1 Replies
792 Views
Habari zenu wanajukwaa!Kama kichwa cha uzi kinavyosema,nina miliki smart phone kwa mwaka sasa Ila sasa nashangaa siku hizi nikitaka kupiga picha picha haitoki poa yaani inakua imeblur sana kama ni...
0 Reactions
1 Replies
639 Views
Naombeni msaada wenu wana JF katika hili Nina miliki simu hii kwa mwaka mmoja sasa,ila shida hii imeanza kama mwezi mmoja hivi uliopita.Yan sipati picha angavu nikitumia simu hii yan ukipiga picha...
0 Reactions
0 Replies
613 Views
Laptop yangu ina tatizo kwenye display, sijajua nini hasa kimesabisha maana jamaa yangu niliyempa anadai kuna kitu chenye ncha kiligonga display. Mwanzo nilihisi ni crack kutokana na alivyodai...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Za mda huu wanajopo. Naomba msaada wenu kwanza nijue tofauti ya computer -science -IT -ICT Na pia nijue ktk hizo ni kozi gari ni bora na itaniwezesha kucheza vyema na mitandao kisha naomba...
1 Reactions
0 Replies
873 Views
Habari wakuu Natafuta simu ya Oneplus 5T hapa bongo, kuna mtu anajua inaweza kupatikana wapi? Wauzaji wwngi hawana hii
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Kwa yeyote nayefahamu bei rahisi ya flat screen tv , please tushirikishane. Nina 230,000/= nahitaji tu kuanzia inch 25 hata kama used
0 Reactions
1 Replies
783 Views
HABARINI NDUGU ZANGU? Napenda kujua bei za mashine imara za nywele!! Niko katika harakati za kuanzisha HAIR CUTTING SALON! Tafadhali mwenye kujua aina ipi na bei yake inafaa!!
1 Reactions
0 Replies
9K Views
Habari wana JF, Ni siku nyingine tena tunaungana pamoja kwenye kujifunza hatua nyingine za kutumia teknolojia mbalimbali. Kwa siku ya leo tutaenda kujifunza jinsi ya kuongeza likes na followers...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Wakuu naombeni msaada, nahitaji Webhosting Provider (Bluehost, DreamHost, HostGator etc), anayetoa huduma ya ku host hizi websites zetu za kitanzania pasipo usumbufu. Yaani Hosting Provider wa...
1 Reactions
37 Replies
4K Views
Nadhani wengi wetu tunaotumia internet sio wageni kukutana na maada za "make money online" (tengeneza pesa online)... Kwa Mara ya kwanza nilikuwa sitilii maanani kabisa na nikadhani ni kitu kigumu...
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Waungwana napenda kuwasihi au kuwataariu kwa wale wateja wa Halotel msije jaribu kununua bundle la night pack kabisa maana hilo bundle ni hewa na ukija jaribu kukinunua usije ukaja kutulilia humu...
4 Reactions
63 Replies
6K Views
habari wanajamii forum dish langu la gulf star limepoteza channel nilikuwa naomba msaada jinsi ya kufanya
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom