Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Takwimu za watumiaji wa mitandao ya kijamii ambao wanongoza kwa kuwa na fans wengi zaidi na kutizamwa zaidi kutoka tanzania katika mitandao ya kijamii yani FACEBOOK, TWITTER NA YOUTUBE... Fuatilia...
2 Reactions
23 Replies
7K Views
Nahitaji kujiajiri kupitia blogs na yote ila sijui chochote. Msaada wa mawazo kwa mlio fanikiwa.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau nina line ya voda niliyokuwa natumia hapo mwanzo kwa whatsapp na leo nimepata line nyingine yenye vifurushi vzr nikapenda nitumie hii mpya, sasa hofu yangu ni je nikibadili line na kutumia...
0 Reactions
5 Replies
912 Views
Nimehangaika kujiunga na Deezer lakini nimeshindwa sipati activation code nimejaribu kudownload spotify kwenye Iphone yangu lakini siwezi kudownload kwenye App store Je nifanyaje au kuna njia...
0 Reactions
2 Replies
701 Views
Habarini Wakuu Msaada Tafadhari Kwa Anayejua Ninapoweza Kupata Thermal Paste, Au Wabongo Wanaita Uji Wa Processor Kwa Dar Naomba Anisaidie Na Bei Kama Itawezekana Asanteni.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari za saa hizi wana JF. Fundi wa kutengeneza laptop ya apple anahitajika please
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Msaada: Pageview nyingi kwenye blog, lakini kwenye adsense account pageview kidogo Msaada: Pageview nyingi kwenye blog, lakini kwenye adsense account pageview kidogo
0 Reactions
0 Replies
502 Views
Habari wana jamvi? Nilikuwa naomba msaada kwa anaejua na unlimited internet ya Tunnel guru au pd proxy. NB: Matapeli hamtakiwi.
0 Reactions
30 Replies
7K Views
Habari zenu Wakuu, naomba msaada wa links za magroup ya Facebook ya nchi zenye CPC Kubwa duniani. Nchi kama USA, CANADA, AUSTRALIA e.t.c.
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, kwa wataalam wa simu nina Simu Ya Samsung A5 inajizima inapopata ubaridi sana sana nyakati za usiku na ikashajizima inasumbua kuwaka yani nikiiwasha inaishia kwenye logo ya...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu, naomba kujuulishwa web hosting company ya ukweli,mana nimecheki reviews za hostgator na godaddy pamoja na blue host zinatisha kweli kweli mpaka hujui uamini kipi. Mwenye...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Habari Wapendwa, Napenda kutoa App ya Bure ya Android kwaajili ya Blogger. Lakini pia nataka support yenu kwenye channel ya Tanzania Tech. Hivyo basi Kama kuna mtu anataka App please follow these...
0 Reactions
0 Replies
563 Views
1.UI/UX designer 2.iOS developer 3.Android developer 4.backend developer 5.frontend developer 6.systeam administrator
1 Reactions
0 Replies
974 Views
Habari ya saa hizi wanajamii, naomba msaada software ninayoweza kuflash huawei model hiyo maana kwa hard reset inagoma na ukiwasha ina leta notification nyingi za kustop software karibia zote na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wakuu, naomba msaada jinsi ya ku hack hili game la extreme landing manake kuna lavel zingine cwezi kabisa kupita, nmepitia post kadhaa za wadau mbalimbali wakitoa maoni na kushauri app za...
0 Reactions
2 Replies
780 Views
Habari wana jamii natoa elimu kuhusu platform mbali mbali ambazo zinahusika na digital currency cryto currency kuuza kununua kuwekeza ktk digital currency example Bitcoin, Ripple, Etherium...
0 Reactions
1 Replies
661 Views
Salamu zangu kwenu ziwafikie Tafadhali wana body naomba mwenye keys za kaspersky aniwezeahe maana computer yangu una virus ambao nikiwatoa kwa AVG hawatoki tafadhali.naomba kama nayo unisaisie...
0 Reactions
5 Replies
886 Views
Habari wakuu, baada ya vyuma kukaza nimeamua kurudi startimes lakini bahati mbaya nakuta card haipo tena. Naomba wajuzi mnijuze kama kuna uwezekano wa kupata card nyingine na gharama zake zipoje...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Nilikua nahitaji App ya kublock simu zisiingie na wala anaepiga asipate ujumbe wowote ule ya Android
0 Reactions
1 Replies
379 Views
Katka baadhi vifaa vingi sasa hivi nasikia vinatumia hiki kifaa je, kina kazi gani?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom