Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari wana JF, Laptop yangu ya apple late 13 inasumbua. niki switch on inafunguka hadi mwisho lakini mouse na keyboard vyote havifanyi kazi, na ikiwaka ile pointer inakwenda kona ya juu ya sreen...
0 Reactions
2 Replies
558 Views
Habari zenu wana JF nilikuwa naomba maada jinsi ya kuweka Window XP kwenye laptop yangu setup wala CD yenye Window sina
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kuna compyuta mpakato ya mwanangu imeanza kuwa na tatizo la screen au monitor yake baada kuwasha hai display kitu chochote ila inapita mistarimistari tu mpaka uikunje katika engo fulani ndio ina...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habarini, nilikuwa natumia internet ya simu kwa njia ya USB kwenda kwenye pc sasa kama wiki moja hivi ile option kwenye simu imepotea. Hapa nlipo nna modem mbili za huawei ya tigo na zain za...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Heshima kwenu wanaJF, nahitaji msaada wenu wakiteknohama juu ya kudesign blog ya kitaalamu na ya kijamii na ushauri wa mtandao uliobora zaidi kutumia. Naomben msaada wakuu!
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari za kazi, poleni na majukumu. Nahitaji msaada wa hali na mali katika blog yangu, nahitaji nikiupload wimbo kuwe na direct button ya kudownload wimbo ..msaada tafadhali, vilevile somo...
0 Reactions
1 Replies
828 Views
Anaejua link ya kudownloadia flash files (Firmware) za Samsung kwa ajili ya region yetu anisaidie Au nitumie file la nchi gani ambalo litakua compatible na Tanzania sababu Tanzania haipo kwenye list
0 Reactions
3 Replies
3K Views
1.Namba msaada kwa mtaalamu yeyote humu ndani, 2. Msaada kujua faida na changamoto za UKURASA au page ya kwenye FB. Kuna Malipo.. Na yanalipwaje?? Asante.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kwa wale mnaopenda kujuifunza jinsi ya kuhack Hii series Inaitwa GHOST Itakusaidia kujifunza kitu Download na kucheki online kupitia hapa http://kissasian.ch/Drama/Ghost/Episode-1?id=2076
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wadau naomba msaada nn hasa cha kununua kati ya hizi bidhaa mbili za samsung! Kuzingatia hasa... *Hardware :-storage,ram,processor,case,size,muonekano Na pia naomba kujua gharama ya NOTE 5...
0 Reactions
3 Replies
956 Views
Nina Techno spark k9, ime pata tatizo la touch kuna mda touch inafanya kazi na kuna mda ina stuck cjajua nin sababu ya tatizo hilo na haijaanguka wala kuingia maji. => Msaada kwa anaejua kutatua...
0 Reactions
2 Replies
749 Views
Naomba kujua device ipi ya xiaomi yenye 32gb internal na 3gb ram inayo anzia kwenye laki 2 na nusu mpaka 3 na nusu pia iwe na kamera quality na battery inayokaa na charge
0 Reactions
4 Replies
795 Views
Naombeni link ya kudownload game
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wakuu, ninatumia printer aina ya Epson LL382 imekwama gafla kufanya kazi , wanadai niweke code ili ifanye kazi upya..naomba mwenye kujua namna ya kupata hizo code anisaidie wadau . Nawasilisha
0 Reactions
0 Replies
738 Views
Wasalaam, natafuta Wi-Fi router ya 4G ila iwe inaweza kutumika kwa line ya mtandao wowote kwa sababu nitahitaji kuitumia nikiwa maeneo tofauti tofauti ya Tz hivyo kulazimika kubadili line mara kwa...
0 Reactions
0 Replies
439 Views
PC SOFT/HARDWARE FORMO
0 Reactions
2 Replies
1K Views
PC SOFT/HARDWARE FORMO
0 Reactions
0 Replies
614 Views
Duka lipi kwa hapa Dar naweza kupata vifaa vya microcontrollers kwa bei nafuu. Nilikuwa nahitaji Arduino uno, pic16877A, bluetooth module, dc motors na n.k...
0 Reactions
0 Replies
804 Views
Laini yangu ya halotel haipandishi mnara kwenye setting inasomeka lakini imeweka emergency call only nikitaka kuangalia salio inaandika cellular network not available tatizo nini wadau na nifanyeje
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wengi tunafahamu kuwa samsung ni kampuni bora ya simu duniani kwa kutengeneza simu nzur na za kisasa mbali na hilo kuna baadhi ya matoleo ya samsung kam j7 prime j5 prime na galaxy prime plus ni...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom