Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Hi guys, by coincidence nime wipe data, nilipobonyeza 'WIPE eMMc, naomba msaada please how to recover my data,maana nimelost CONTACTS,NOTES, PHOTOS,etc
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Chombo cha angani na kazi zake muhimu Vyombo vya anga vinaundwa kwa kazi nyingi pamoja na mawasiliano, kubeba vifaa vya kutazama dunia au hali ya hewa, kufanyia utafiti sayari nyingine au...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
nimesikia unaweza kununua AIRTIME ya TTCL kwa njia ya m pesa au tigo pesa, naombeni msaada kama ni kweli inawezekana kununua salio kwa njia hzo ..
0 Reactions
13 Replies
24K Views
Habari zenu Waungwana,bila kutegemea nilikuta simu yangu aina ya Samsung galaxy Grande Prime imefungika,kuna maandishi madogo yanasema "Your PIN has been blocked,enter PUK to continue".hiyo card...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Naombeni msaada nataka nitumie whatsap kwenye laptop nifanyeje naombeni process zote
0 Reactions
29 Replies
13K Views
Kama kichwa kinacho jieleza unataka nitengeneze picha ambayo nikiweka kwenye blog yangu kama tangazo na watu waraweza kubonyeza.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
KWA miaka takriban 100 sasa dunia imeshindwa kutengua kile kinachoonekana kuwa kitendawili kigumu, kuhusu kuwepo Vyombo vya Anga maarufu kwa jina la UFO. UFO ni 'Unidentified Flying Objects,'...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Habari, Nimetengeneza Micro-finance Management System, ambayo itafaa kutumika kwa vikundi vya akiba na mikopo , pia ni useful system kwa organization ambazo zinafundisha masuala ya Saving and...
2 Reactions
38 Replies
3K Views
Wataalamu nisaidieni. Mozilla browser haifanyi kazi. Nadhani ime-crush. Nimejaribu ku install upya inaleta pop message kuwa Your Mozilla Fire Fox profile is unavailable or not accessible...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Natumai mko salama wanaJf wenzangu katika ukumbi huu. Naomba msaada wenu tafadhari, nina laptop tajwa hapo juu. Nina muda mchache sana (Chini ya mwezi mmoja) tangu nianze kuitumia. Lakini...
0 Reactions
6 Replies
973 Views
Habari wanajamvi, Hakuna asiye yajua maumivu ya bili kubwa ya umeme iwe masikini ama tajiri.Katika makala hii nitazungumzia namna ambavyo unaweza kupunguza bill kubwa ya umeme katika...
7 Reactions
12 Replies
7K Views
voda wametoa promotion mpya sjajua kama imekua posted humu kwa sh 500 utatuma sms bure, kupiga simu na internet unlimited kwa siku nzima. Then kitu nlichokuja gundua ni kua wanaangalia mnara...
2 Reactions
40 Replies
25K Views
Naomba mnipe mawazo na msaada namna ya kupata simu yangu iliyopotea. Simu imeibiwa ndani ya week moja iliyopita na laini zangu hazikuwa hewan lakini toka majuzi kila nikipiga kwenye lain zangu...
0 Reactions
0 Replies
914 Views
Habar Wana jf kwa yeyote mwenye kufaham kuhusu bitchon naomba anitumie link, na ufafanuzi kidogo kwa wenye uelewa wa hii mambo
0 Reactions
5 Replies
891 Views
Hilo ndilo swali langu kwa sasa, Hivi kiyoyozi (AC) huwa kinatengeneza oxygen au kinapooza tu hewa iliyoko mahali husika?
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hello wadau, pawahost.com Sasa imetoa offer ya domain Kwa Tsh 17,000 tu Tupigie Sasa Kwa namba 0687535650 au toucheki WhatsApp
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Habarini wanajamiiforums,Nilikuwa ninashida moja nilikuwa nimetengeneza server kwa kutumia virtualbox server yenyewe ni ya Ubuntu servers, sasa shida ni kwamba IP niliyoweka kama IP ambayo watu...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Tunahitaji mtaalamu wa graphics and video production atengeneze tangazo (katika video) kwaajili ya ku-promote mobile app yetu. Kama una skills za kutosha tuwasiliane mara moja. Tuma sample 2 tuu...
0 Reactions
1 Replies
665 Views
Habari zanu Wana technology naomba Kujua kama jambo hili linawezekana ni kwamba nataka ku upgrade samsung note 5 kutoka android video 6.0.1 mashlow kuwa 7.0 nougat model ya simu ni GALAXY NOTE 5...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom