Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Msaada wa mawazo juu ya project ya ICT kwa bachelor level iwe ya web based (sanasana php-html-mysql). Note: nahitaji mawazo au problem statement au tittle ila sio kununuaaa.. naweza kutengeneza...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Kwema jameni. Nahitaji msaada kwa anaeelewa hii kitu: Nina IP Cameras ambazo naweza kuona footage nikiwa kwenye network.Using Mxeye, naweza kuona footage kwenye tablet,lakini nikitoka nje ya WIFI...
0 Reactions
0 Replies
413 Views
PC Yangu imeanza kizingua kuwaka tangu jana. Ukiiwasha inawaka Ila inakuwa Ya black na kuna kimstari kinablink nimejaribu option kadhaa Kama esc , Ctrl, alt na delete still...
0 Reactions
14 Replies
7K Views
Simu yangu Microsoft Lumia 640xl, nime reset simu sasa kila Niki download app zinakataa na linakuja neno simu imeshindwa kudownload "error code 80070020" sasa nimeshindwa kujua tatizo nini
0 Reactions
3 Replies
793 Views
Yaani nimefanya karibu setting zote ambazo nimeambiwa ni muhimu lakini wapi!!!! Ajabu ni kule kwenye statistics Upload inakuwa kubwa lakini huku kwenye download ni 0.30 kbs ikipanda sana inafika...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Habari zenu wakuu? Samahani wakuu, naomba mwenye kufahamu jinsi ya kubadilisha au kuweka OS kwenye hizi android devices kama smartphones au tablets naomba unifundishe zile basic stages/Steps...
0 Reactions
2 Replies
662 Views
Habari Wana jf naomba mwenye kujua power bank gani ni nzuri inafaa kuchaji simu hata Mara mbili simu yenye power ya 3200, maana nyingi ni feki
1 Reactions
14 Replies
7K Views
Nina inverter aina ya Genus 800va, nimeambiwa inaweza kutumika kama back up sestem,kwamba Umeme unapokatika inajiwasha yenyewe. Betri ninazo ,shida ni namna ya kuunganisha,Mwenye ujuzi Tafadhali
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Heri wadau. Naomba msaada wenu.Kuna machine hizi za Kichina aina ya Positivo BGH.Inarun Windows 10. Sasa nashindwa kubypass Logon Account Password. Software kwingine inafanya kazi vizuri tu,ila...
0 Reactions
0 Replies
437 Views
Habari zenu wadau Nina samsung j5 pro haina mda mrefu tokea nmeinunua ila gafla tuu haisomi line tena nmei reboot nmee restore but nothing help pleas Chief mkwawa na wengine msaada pleas Asante
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Nitaipata wapi? na kwa bei gani? msaada jamani mtu ambaye anacho au hata kama kipo dukani shi ngapi?
0 Reactions
4 Replies
956 Views
Wanaojua app nzuri zaidi ya hizi
0 Reactions
4 Replies
854 Views
wakuu ni website(s) ipi ambayo ni nzuri kwa sasa kwa ajili ya kupakua movies (series)? Nilikua nimezoea kutumia kickass torrents
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wakuu nimkutana hiyo home screen ya simu humu humu jf nimemuuliza alietuma hajajibu nadhani atakuwa hajapata notification sasa nataka kujua kama ni aina ya simu ndio Inaweza kufanya hivi au ni...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Kwema wadau. Nina shida na POS printer hapo kwenye subject(kama zile za TRA)ajuae zinapouzwa tafadhali anijulishe
0 Reactions
3 Replies
647 Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nahitaji mtu wa ukweli wa kunifanyia kazi hiyo ya youtube na kukamilisha kazi yangu ndani ya wiki moja au mbili, tafadhari subscribers wawe really malipo kazi...
0 Reactions
7 Replies
937 Views
nina samsung nimeinunua china..kule ilikuwa ikifanya poa kabisa ila baada ya kufika hapa nchini nimeweka line zetu haisomi inasema insert sim card
1 Reactions
7 Replies
758 Views
Wakuu mwenye kujua jinsi ya Kujiondoa Face book anisaidie pls, nataka kufunga acount yangu make nimechoka na face book
0 Reactions
57 Replies
28K Views
Habari wakuu, tatizo langu ni kwamba kila nkiwa napiga mziki kwenye redio yangu nikaongeza sauti tu basi inakata sauti yote hadi nichomoe power plug alaf nirudishe tena, sijajua tatizo nini ingawa...
0 Reactions
21 Replies
6K Views
nataka kununua mi power bank 10000 mAh kupitia online seller kwa dar, bei yake 36,000 plus usafiri 3,000 jumla 39,000. Je ni bora au kuna brands nyingine bora zaidi? Naomba ushauri wako
0 Reactions
28 Replies
6K Views
Back
Top Bottom