Oi wadau wangu Wa magames mpo?
Sasa leo nimeamua kuanzusha huu Uzi na nitawaleza jinsi ya kurushiana games za pc au android.
Step ya kwanza
Download team viewer
Kama inatumia pc download na kama...
Habari wataalamu?
Naomba msaada mita yangu ya 3phase imegoma kuwanya kazi haina mawasiliano je kuna namna ya kuirekwbisha?
Haiwezi hata kusoma unit zilizobakia.
Wadau naomba mnisaidie kutambua utofauti ulioko kati ya 4G na LTE maan kuna vifaa huwa vimiwashwa data huwa inapanda LTE na vingine huwa vinapanda 4G pekee sasa nataka kujua kama spidi...
Wakuu, hii Laptop inaniumiza kichwa kwanza ni ngumu kuingia kwenye
BIOS Setup, pili haitaki kabisa kuwaka bila kuchomeka chaja kwenye umeme
lakini ukichomoa wakati umewasha haina shida, hata...
Nimekua nikiunganisha simu (smartphone) kwenye PC na kuitumia kama modem kwa muda mrefu, lakini ghafla imenigomea, inaniandikia "USB Device Not Recognized"....inakataa kuonekana/kusoma.
Je...
kwa wale tuliochakachua vingamuzi vya startimes naona wamestuka hawa jamaa tangu lastweek ukifungua zile channel zetu inatoa icon ya warning NON COMAX PROGRAM alafu akitoki kinakaa katikati ya tv...
Hlw, samahan naomba kuuliza mfano kama mtu ana model number ya tv yako anaweza kuifunga isionyeshe pic au kuondoa mwanga?
Koz tv yangu ghafla leo imeanza kufifia mwanga mpaka kutoonyesha kabisa...
Jamaa amepata course mbalimbali za ICT anakazi nyingi za ICT amezifanya na kwa kweli ukimfuatilia yuko deep.
Mjamaa mwingine a na degree ya education physics na ICT chuo kikuu kamanmasomo yako ya...
Kutokona na migao ya Stima (Umeme) isiyoisha Bongo ninaomba ushauri juu ya njia gani zaidi inakuwa bora kati ya Inverter au Generator kwa ajili ya Standby Power Source.
Taja faida na hasara ya...
Nisaidieni jamani zamani ilikuwa nikipewa like nataarifiwa, mtu akini quote nataarifiwa lakini siku hizi kimya nifanyeje ili iwe kama zamani (hali hii imeanza kama wiki mbili zilizopita)
Watalaam,keyboard ya laptop tajwa hapo juu namba nyingine zinanasia na inavumbi sana. Mi sio fundi,ila naomba mnijuze jinsi ya kuifungua,halafu nipulize blower.
Natanguliza shukrani
Habari wakuu,
Nina Nokia Lumia 1320, ilikata tu network yenyewe then ikaja ikazima tu.
Kila fundi a napiga Dana Dana, wa hardware anasema itakuwa software, na wa software anakwambia itakuwa...
Habari wakuu
nina modem ya ngu ya HUAWEI sasa inatumia laini moja tu nilkuwa nataka ku UNLOCK iweze kutumia laini zote,naombeni msaada mwenye software inayofanya kazi ya ku UNLOCK anisaidie jamani
Jamani laptop yangu nilimpa mtu kwa matumizi fulani ila kwa bahati mbaya akaenda kupiga window na kufuta mafaili yangu yote muhimu zikiwemo picha zaidi ya 3500,Audio zaidi ya 10000,video zaidi ya...
Wakuu habari zenu,
Nataka kununua simu moja kati ya hizo tajwa hapo juu, ila sijajua tofauti yake hasa ni nini na ipi ni bora zaidi. Wajuvi wa mambo msaada.
Au kama kuna simu kali zaidi ambayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.