Hivi karibuni google yawezesha watumiaji WA safaricom Kenya kufanya malipo ya kununua apps ndani ya play store Kwa kutumia M-pesa xpress payment
Iyo fursa imekuja hivi karibuni na hipo on...
Msaada nina laptop yangu aina ya lenovo ilikua inagoma kuwaka ikabidi nipige window ila nikiwa napiga window inakuwa nzito inakaa muda mrefu kwenye window is starting...ikivuka inakuja kugoma...
Habari
Natafuta kwa Haraka mtu mwenye ujuzi wa kusetup na ku configure Oracle Real Application Cluster (RAC) na Oracle Dataguard.mwenye interest anaweza nitafuta kwa barua pepe...
Nina tv yangu flat tv aina ya BOSS INCH 24 imegongwa kioo kikafa, so naweza nikapata kioo kwa Tanga au Dar na kinaweza kufika shilling ngapi?? Msaada please
Kama unafanya biashara au unasimamia account ya WhatsApp / namba ya simu ya kampuni au taasisi, hii ni mahsusi kwa ajili yako.
App hii inakuwezesha kusajili namba ya simu kuwa 'WhatsApp business...
Habari wakuu.
Naombeni mnijulishe software ya kupunguza ukubwa wa MB kwenye video clips ila sasa kama ni mp4 ibakie mp4 hivyo hivyo and the like.
Sitaki iharibike quality ya video.
Natanguliza...
Habari za humu ndani. Mimi ni kijana ninataka kujifunza plogramming na nnataka ku deal na complicated app za Android zinazoendesha miamala na website zinazoendesha miamala ya fedha. Ninaomba...
Watu wengi hufungua email accounts kwa sababu maalumu. Moja ya sababu kubwa ya watu wengi kufungua emails kwa sasa ni pamoja na:
-Kuongezeka kwa maombi kwa njia ya mtandao (online applications)...
Wakuu salaam,
Mie mgeni bwana kwenye hizi mambo,sasa nimefungua blog ya google nikabadikisha theme nikaweka zile zinazosupport ads[zile za bure] ila imekuja na maneno ya kifaransa nashindwa...
nina simu yang infinix x5100 tangu tangu juzi inasumbua upande wa storage , inaonyesha kua ina available space ya 8gb ina ukiweka nyimbo kumi inagoma inaleta alert ya no enough space,, msaada we...
Wadau nina blog yangu ipo katika hatua za mwisho kukamilika lakini tayari ipo hewani, blog hii inadeal na nafasi za kazi na nafasi za ufadhili wa masomo(scholarships) mainly Tanzania, kwa ujumla...
wataalamu wa excel msaada. Mimi ni mwalimu. Nina orodha ya wanafunzi wangu na alama walizopata katika mtihani. Lengo ni kubadilisha alama katika asilimia kwenda kwenye mfumo wa daraja A, B, C , D...
Wakuu habari,
Nimeingia Watssap yangu nimekuta namba yangu imedownload baadhi ya video ambazo huwa zinatumwa kwenye group hilo na ni kitu ambacho huwa sifanyi. Kisha ikaweka Viemoji vya kucheka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.