Habari wana jamii forum
Nilikuwa naomba msaada kwa wale wajuvi wa microsoft excel VLOOKUP inafanyaje kazi maana najaribu kuisoma lakini bado inanisumbua kuielewa
Habari ndugu ...niliuziwa simu ambayo imekuwa locked line moja tu. Yani haiwez ikafunction bila kuweka hiyo line na internent yenye kasi (3G) imekuwa locked kwenye hiyo line tu.Na sehem...
Wakuu hii modem nmenunua 2015 enzi hizo tigo wana zindua 4g Arusha, Nipoinunua ilikuwa inaingiza line za mitandao yote ila sasa kinachoni huzunisha ni kwamba sina option ya ussd kwenye hii modem...
Nimepita sehemu nikaona tangazo kuwa wana chip Play Station 4 (Ps4) na kuruhusu kuhifadhi games ndani ya Internal hard disk ya Ps4 na kuachana na habari ya kununua CD.
Je ni kweli habari hizi au...
Moja katika ndoto kubwa za watu ni kufanikiwa kuweka matangazo ya vodacom na mitandao mingine kwenye website yao.
Hebu tujaribu kuangalie watu kama millard ayo ni watu ambao wanapokea pesa nyingi...
Uwepo wa simu janja umekuwa na changamoto kadhaa hasa kwenye suala la simu janja kutokaa na chaji kwa muda mrefu na kutokana na changamoto ndio wazo la kushare chaji kwa Wi-Fi lilipozaliwa..
Njia...
Kuna kijana alichezea simu na kufuta whatsapp. Sasa nilijaribu kuiweka upya baadhi ya meseji zikarudi na nyingine kugoma. Kuna uwezekano wa kurudisha meseji zote maana nimejaribu mara ya pili zile...
The University of Dar es Salaam Computing Centre (UCC) is announcing International Certification Trainings and Workshops for April 2018. The trainings will be conducted after every 2 months.
1...
Natafuta programmer kwa ajili ya kutengeza android app kwa kushirikiana na mimi. Me sio programmer ila nina business idea ambayo tuna2eza tengeneza pesa kwa pamoja.
Angalizo. Hii sio ajira.
Kama...
Kuna software ya computer inaitwa Sdata tools. Hii software inafanya kazi ya Ku double ukubwa wa memory card na flash. Kama inaukubwa wa 2gb inakuwa 4gb, 4gb-8gb, 8gb-16gb na kuendelea...
Kama kichwa kinavyoelezea hapo,juu mimi nnatumia desk top ya dell yenye hard disc ya sata, sasa leo katika kitafuta kwa marafiki nimepata hard disc ya lap top ambayo ni sata pia nikaichukua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.