Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wale wapenzi wa gb whatssap tukutane hapa ,kiukweli gb whatssap ina madiko diko mengi haswa mazuri, lakini wengi tunatumia gb whatssap bandia, muda mwingi ukienda kwenye application ina crush mara...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Msaada wa hilo jamani mweee
0 Reactions
2 Replies
708 Views
wadau natumia window 10 kwenye pc ya hp... tatizo ninalokumbana nalo ni kwamba kuna muda nikiwa naplay audio ghafla sauti inakata, nikirestart pc saut inarud au inaweza kaa kidogo hata...
0 Reactions
1 Replies
806 Views
Salaam wanajf . Naomba msaada kwa tatizo hili: PC aina Acer aspire ES-512 ilizimika baada ya umeme kukatika. Umeme uliporudi nimeichaji lakini imekataa kuwaka kwa kutumia power on switch. Je kuna...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu wadau waJF, Kwa yule anayefahamu link ya kudownload Windows 10 iso file iliyo full version naomba anisaidie kunipatia.
0 Reactions
40 Replies
9K Views
Nina game la Winning Eleven kwenye simu,nataka niliweke kwenye PC.Je,inawezakana?kivipi? Cc: CHIEF -MKWAWA
0 Reactions
3 Replies
3K Views
habari wadau nime pakua app ya whatssap kwe computer dell lkn sijaweza kuitumia kwamaana sija weza kuweka hata namba ya simu yakuweza kuiunganisha nisaidieni jamani
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Naomba msaada nikiwasha computer inadisplay maneno haya
0 Reactions
2 Replies
693 Views
Technologia inakuwa sana, na katika hilo kunakuwepo na faida na hasara kwenye jamii zetu. Bara la Africa limepokea kwa kasi sana matumizi ya simu za mikononi na katika kuchangamkia fursa hiyo...
0 Reactions
0 Replies
537 Views
Answer: No, because government surveillance (tracking your phone location and tapping your calls, messages and internet traffic) is done at cellular network level, not on your phone. If you...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Kampuni ya Nokia imetangaza kuwa imeunda simu ya Android ambayo ndiyo imara zaidi kiasi kwamba haiwezi kuvunjwa kwa mkono. Kampuni hiyo pia imeanza kuuza simu nyingine yenye sehemu ya kuteleza...
3 Reactions
58 Replies
8K Views
Wakuu habari ya jioni, Naombeni wataalam wa computer mnisaidie, computer yangu imegoma kabisa kupost chochote facebook, niki log in kwenye account yoyote fb inanipa uwanja wa kupost status, lakini...
0 Reactions
4 Replies
748 Views
kama kichwa cha habari hapo juu,ni hivi nimenunua doamin name kutoka Godaddy,sasa kashehe inakuja jinsi ya kuibadilisha jina la awali la blog yangu ili niweke hili jina jipya lenye .com. ieleweke...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Sifa za printer ni kama ifuatavyo, 1.inaprint color 2.inasuport network wireless na wired 3.inasupport USB flash 4.inauwezo wa kuprint pande zote mbili(inageuza karatasi) 5.Mpaka sasa imeprint...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu naomba mwenye uhitaji wa kutuliza ukali wa mb kua garama kubwa sajili zantel ya chuo utainjoi maisha.
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Wadau habari! Nafikiria kuanzisha radio ambayo itapatikana kwenye king'amuzi, mwenye utaalumu naomba tushare pamoja ikiwa ni pamoja gharama ya vifaa na kuisajili?
1 Reactions
0 Replies
783 Views
Naomba kujua matumizi ya router. Zinapatikana katika kampuni za simu tu au madukani? Bei zake? Size zikoje?
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Habari wana jf mimi nina gari lenye automatic gearbox gari hili limeninyima raha kwani ninapotembea huishia gia no 4 na si zaidi ya hapo hata kama nikikanyanga mafuta halibadiliki zaidi ya mshale...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Habari wakuu... hili jambo nataka kujua kisayansi limekaaje, ipo hivi katika Magari yanayobeba Mafuta kama Kerosene (IK) katika lile Tank juu kuna mifuniko miwili mmoja mkubwa na wa pili mdogo...
0 Reactions
2 Replies
718 Views
Habari za jioni wapenzi wa teknolojia, Najua wengi wenu mnajua kuwa samsung Galaxy S9 tayari imesha toka na kama bado hujajua sifa za simu hizo unaweza kutembelea ukurasa wa Tanzania Tech kujua...
0 Reactions
4 Replies
851 Views
Back
Top Bottom