Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari wadau. Naomba msaada kwa anayejua kuondoa hii kitu. Ni Samsung S7 mpya. Toka last week imegoma kabisa nimefanya factory resert lakini inagoma na inaweka notification kwenye screen juu...
0 Reactions
1 Replies
570 Views
Wataalamu naomba msaada wenu. Simu yangu aina ya Samsung galaxy note one imegoma kabisa kushika mtandao wala kudisplay imei. Ukiiwasha inawaka kama dk 2 tu then inastack na kuzima. Pia...
0 Reactions
9 Replies
7K Views
Kuna jamaa anataka kuniuzia Laptop dell isprion core i5 kwa laki 450 Specificationa za computer Core i 5 3337U Processor 2.60Ghz Graphic card 2GB dedicated video HDD 500GB RAM 6GB Je wakuu kwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Stripped-down version of site to be offered by 50 wireless operators SAN FRANCISCO - Facebook has teamed up with 50 wireless operators to offer cell phone users a stripped-down version of the...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
.ga ni domain ya gabon lakini pia inaweza kutumika worldwide maana jina lakesio baya. kama wewe ni webmaster na huna budget ya kutosha kununua domain itakufaa hii nenda website hii upate domain...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Kwa mwenye kujua jinsi ya kujiunga na kifurushi cha university offer naomba anisaidie
0 Reactions
25 Replies
9K Views
Kwa wenye Windows 10 sasa Kali Linux Penetration Testing Distro inapatikana Windows Store. Inabidi uwashe Linux Subsystem kwanza, maelezo zaidi: Kali Linux for WSL now available in the Windows Store
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamani msaada kwa yeyote aliyewahi kutuma pesa nje ya nchi kwa kutumia western Union naomba anitoe ushamba. Najua hii huduma TPB ipo lakini sijui ukienda kutuma unafuata hatua gani na gharama...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Wakuu nina kisimu cha button tecno T349 Tangu juzi kinaandika no service nkitoa line kinasema Insert sim card Je shida ni nini wakuu kwa sim one na sim two zote slots, kunakipindi kilikuwa...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Samahani Wana jamvi, Kama kuna mtu anatumia au ameishawahi kutuMia Tv Aina ya BOSS naomba anipe experience yake kuhusu hii brand, nataka niinunue, nilipita sehemu ilikuwa inaonesha nilivutiwa sana...
0 Reactions
3 Replies
977 Views
Ipi ina uwezo* au ubora kati ya hizi simu 2?
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Hivi naomba kuuliza inachukua mda gani bidhaa uliyoagiza kukufikia kutoka huko ughaibuni mpaka hapa TANZANIA.
0 Reactions
1 Replies
987 Views
msaada wana jf naomba msaada kwa mwenye uelewa wa namna ya kuroot simu za hios kama tecno...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wakuu. Kama Kuna wataalamu wa blockchain technology na wenye uelewa wa cryptocurrencies naomba wanicheki WhatsApp 0768734611. Kuna project nataka kufanya na kampuni ya nje ila nataka mtu...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
wadau simu yangu tecno w3 haisomeki kwenye tv nataka niangalie movies nimedownload sina memory card
0 Reactions
1 Replies
512 Views
Habari wana jamvi, pamoja na vyuma kukaza nimejichanga nikapata sh laki4 hivi kwa ajili ya kununua simu. nimekuja kwenu ili mnipe msaada na ushauri nichukue simu ipi kwa bajeti hiyo. sitaki tecno...
2 Reactions
32 Replies
5K Views
Whatsapp has not yet provided a means to clear recent emojis. But if you are facing a problem of un wanted emojis on a recent tab, just simply do the following: Go to emoji tab; select 35...
0 Reactions
0 Replies
43K Views
HOW TO GET STARTED 1.First and fore most if your remote is full functional You have to enable "Remote control" in your QSAT from OFF to ON and if by any means yours is deceased or some buttons...
1 Reactions
1 Replies
11K Views
Kwenye uzinduzi wa mfumo wa usajiri wa laini kwa alama za vidole yaan biometric sim card registration, mkurugenzi alisema.. "Mfumo huu ni wa usajili wa laini za simu kwa kutumia Baiometria...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Kama kichwa kinavyo jieleza wakuu msaada wenu.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom