Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Mambo zenu wakuu? Nilikuwa natumia Samsung Note Edge imeniharibikia na nilipoenda kutafuta nyingine kwa lengo la kununua mpya nimeambiwa batch hii haikutoka tena hivyo ni out of stock. Kiukweli...
0 Reactions
39 Replies
5K Views
0 Reactions
2 Replies
814 Views
Kwa muda mrefu mtandao wa techradar umekua ukiaminika sana ktk uchambuzi makini wa simu na mambo ya technology. Leo nimeamua kuleta hii mada ili kumaliza ubishi ni ipi The best phone of 2017...
5 Reactions
118 Replies
15K Views
Habari wana jamvi. Kama kichwa uzi kinavyo jieleza, nilikuwa naomba msaada namna ya kufunga ving'amzi hata ikiwa aidia tu au maelezo mafupi ya namna yakufunga ving'amzi. Napenda sana hiyo fani.
2 Reactions
9 Replies
6K Views
Habar wana jf,nimetokea kupenda gairi hii kwa muda sasa,katika pita pita zangu kuna rafiki yang alikua nayo ni ya mwaka 1999 non turbo,ina cc 2000 manual gear,anaiuza milion 4 na ninamba...
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Ndio Ni bure!! (Kama unatamani kutengeneza Blog na uweze kuingiza hela kupitia hiyo blog hii ni fursa kwako) Kama una blog na umeshindwa Kuiweka kwenye mpangilio Mzuri Kama una blog na una...
2 Reactions
23 Replies
2K Views
Unasubiri Nini? Ewe Mmiliki wa Blog au Website hii ni zaidi ya Adsense.Juhudi na Maarifa ni Shina la Maendeleo.Jiunge sasa na Register | PopCash.Net Malipo Papo Hapo.. Sharing Is Carring
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari zenu wana jf naomba msaada kwa yule anayejua app ya kusajili laini za Halotel kwa simu zenye android 7.0. Asanteni
0 Reactions
12 Replies
8K Views
Poleni na majukumu wakuu. Msaada tafadhali laptop ya imechange screen ghafla wakati naitumia tatizo ni nini......imekuja kama mistari mistari na rangi ya screen imebadilika cc@chief mkwawa
0 Reactions
1 Replies
527 Views
ALAMA: x.xx"=screen inch x.xx v.x=android version x ORODHA: 3GB RAM 5000mAh 1: VkWorld G1 5.5" v.5 5000mAh 2: Asus Zenfone Max (2016) 5.5" v.6 5000mAh 3: Gionee Marathon M5 Plus 6.0" v.5 5020mAh...
2 Reactions
45 Replies
12K Views
Huduma ya Uber sasa inapatikana kwa magari na bodaboda nchini Uganda. Uber and Taxify are going head-to-head to digitize Africa’s two-wheeled taxis
0 Reactions
3 Replies
618 Views
Wasalaam , kuna hii simu yangu tajwa hapo juu ilianguka na kufa display nimekiweka tu ndani kwa mda sasa. Nataka kuifufua nimejaribu kupita kkoo bei nimetajiwa 280k mpaka 300k hapo ikijumuisha na...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Wadau nina kuna tatizo kwenye hii simu yangu.. simu tajwa hapo juu nikiicharge inajaa mpaka 70% tuu... kuanzia hapo haiendelei hatakama ukaicharge siku nzima... haifikishi 100% battery. Sijui kama...
0 Reactions
0 Replies
685 Views
Cim yang inasumbua mahal nlipo n kijiji san inasoma E tofauti ba zaman nlivokua mjini kat af napata shid mtandaoni coz ina serch mdaa mrefu san mweny kujua application itakayo nisaidia kutumia...
0 Reactions
42 Replies
9K Views
Habari wadau. Naomben kujua kama kuna uwezekano wa kubadilisha camera ya simu ya smartphone yaani kubadilisha lenzi kuweka nyingne. Kwa mfano now camera yangu ni mp 3 nije niweke 5mp? Je...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Nimeinstal FIFA 18 inacheza kwa kunasanasa pia vichwa vichwa vya wachezaj havionekani, na watch dog 2 yenyewe inaleta msg 'unable to locate uplay pc, please reinstal uplay pc tafadhari msaada...
0 Reactions
2 Replies
695 Views
NAOMBENI KUJUZWA JINSI GANI NAWEZA KURUDISHA ACCT YANGU ILIYO FUNGIWA NA INSTAGRAM KIMEKOSA
1 Reactions
8 Replies
5K Views
Taxi drives wa Tanzania pamoja na ICT professionals wanashindwaje kuunda system kama ya hawa UBER na kuachana na mifumo ya zamani ya kusubiri abiria wa taxi ndio amfuate dereva. Guys let's be...
2 Reactions
87 Replies
11K Views
Back
Top Bottom