Wakuu, wasalaamu!
King'amuzi changu kinachotumia antenna na pekee DVB -TT2 kimegoma kuonyesha channels hata nikisearch sipati channel hata moja.
Hii imetokea baada ya kufanya factory reset, sasa...
habarini wakuu
nina laptop aina ya advent nlkua naitumia vzur lakn nkasafiri kama wiki hiv narud nakuta haiwaki ila inaonesha inaingiza chaji.
nahitaji ushaur wenu nfanyaje au tatizo ni nini.
Naombeni mwenye ujuzi anisaidie , simu ilikuwa nzima ilizima charge baada ya kuicharge ilipowashwa batani zake zote 3 za chini hazifanyi kazi, lakini tarch yake inafanya kazi bila shida. Mwenye...
Wadau naomba msaada...ktk windows 10 yangu nlikua na App ya UTORRENT...sasa baada ya kurestart computer imeondoka kweny desktop na sehem nyingine kama vile star menyu...
Kibaya zaidi kulikua na...
Nimesoma hii ripoti kuwa Tech Hub zinakua kwa kasi sana Africa, Nigeria kuna hubs 55, Kenya 30 na hata Zimbabwe ina hubs 13.
Lakini cha kushangaza ni kwamba Tanzania inaonekana hazijashika moto...
Kuna Mishe Hapa Ya Haraka, Inahusu Mtaalamu Wa Web Designing Na Masuala Mengine Yanayohusu Web Huko Huko...Naomba Anicheki Haraka Kwa 0744525848 Kwa Sms, Call Na WhatsApp Fresh..!!
Amani iwe pamoja nanyi Ndugu zangu. Kama kuna yeyote mwenye Uelewa na Tunnelguru na DroidVpn naomba anisaidie kwa hili.
Nilikuwa natumiaga hii kitu back on 2011 to 2013. Sikuwahi kwenda premium...
Nawasalimuni nyote!!
Kwa miaka kadhaa nimekuwa nikijipigania lau niweze kujilipia hata kozi ya cheti pale chuo cha sanaa Bagamoyo lakini kumbe mipango si matumizi.
Kwa kipato changu nimeshidwa...
Frp solution kwa cmu tajwa hapo juu pamoja na flash reading and write. Tunaweza kukufanyia huduma popote ulipo bila kutuletea cmu yako tulipo au ukihitaji kununua solution inawezekana pi
Watalaam,nina TCL tv flat inchi 55 sio smart tv.
Kuna namna yeyote naweza kuifanya iwe smart tv niweze kucheki youtube na mambo mengine moja kwa moja.
Naomba mnijuze tafadhali, nipo dsm
Wakuu habari zenu,
Ni kama siku 3 zilizopita nimenunua Tv ya Sumsung M5000, 5 series yenye inch 32. Kila nikiwasha kuna picha moja haitoki kabisa hata nikiwa naangakia movie inakuwa inahama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.