Watalaam. Salaam na Amani kwenu.
Hii ni meseji ninayopata nikiweka DVD yeyote. Ilikuwa nzima muda wote,ila kuna dvd ilibaki ndani ya deki muda miezi 2 hivi,nilipotoa kuweka zingine napata hiyo...
kwa wale wanao fanya kazi za you tube unaweza ongeza ujuzi hapo
HESABU YA MAGAWANO KATI YAKO NA KAMPUNI
Brand Owners = ($15.00) ÷ Ad network 50%($7.50) Publisher, Blogger, Monetizer...
Habari zenu wakuu nilikuwa naomba msaada hivi na novel zangu nimeziweka kwenye PDF ya WPS office sasa nilikuwa nataka google translate inasaidie kutafsiri kitabu chote ndani ya PDF Bila Bila...
Kwema Wanandugu,
Kuna ndugu yangu ana simu yake Samsung toka jana asubuhi inawaka na kuzima tu. Yaani akiwasha inakaa sekunde kama 5 hivi inazima, na kujiwasha tena, kisha after 5sec itajizima...
By Peter Goodspeed: Dictators and the abnormal brain
Cunning, cruel, flamboyant and eccentric, at times Muammar Gaddafi seemed a parody of the villains that populate James Bond novels. But...
Nina compture yangu HP Compaq
Ina tatizo inaingiza chaji den baada ya mda inakata nini tatizo
Msaada wada chief mkwawa na wengine wenye uelewa wa haya mambo
Jamani nahitaji kuwatambua game designers wabongo labda tunaweza kufanya kitu cha kueleweka kama project ambayo inafanyika mbali na wakati wa kazi (free time) tu... Ni ka google employees...
Jamani natamani na ni interest yangu kutengeneza katuni animation kama wewe ni mtaalamu wa hili swala nipe maujanja hata kwa video au maneno ntashukuru sana natamani kufanya kama zile za vijitabia...
Habar za mida hi wana jamvi. Naandika uzi huu nikiwa na hasira sana hizi tecno k7 ni mbovu na ni moja kati ya product mbovu zilizowahi kuingia hapa nchini yani nimeitumia miezi mitano sasa hiv...
Kichwa cha thread chajieleza. Nina shida ya kuwwka maandishi nyuma ya document yanayofifia kama wanavyofanya NECTA. Mfano neno Shomy litokee mara nyingiiiii kwenye karatasi kama background...
ndugu , naombeni msaada ! Nina simu yangu aina hiyo tajwa. Inanisumbua. Ukiiwasha inawaka ila haidisplay, inakaa sekunde kama tano inajizima na kurestart .muda mwingine inadisplay na kuitumia ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.