Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Naombeni msaada wadau wapi nitweza kupata site ni download Season za kikorea Kama criminal minds Na nyingine nyingi asanteni.
0 Reactions
0 Replies
531 Views
Nimekuwa nikipata tabu sana pindi ninapodownload Video za nyimbo katka snap tube Kisha nikiziingiza Katika Flash na kuplay Ktk deck zinagoma na kuandika unsupported file format.. Naomba kwa...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Habarini wakuu.. Kuna tablet ya samsung 4 imeanguka, sasa screen imepata crack ndogo tu ila tatizoo kubwa ni wino unaonekana umetanda juu ya baadhi ya sehemu kwenye screen.. Naombeni mnisaidie...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
wakuu mwenye hufaamu na kiifa iki naomba msaada pakukipata coz nimezunguka maduka mengi bila mafanikio
0 Reactions
48 Replies
4K Views
Habari zenu wanajamvi najua humu kuna wadau wengi kwenye sekta ya IT mimi ninahitaji kupata ujuzi wa jinsi ya kutuma ujumbe kama ule wa TIGOPESA au Halotel yani zile jumbe zinazokuja na jina...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
uwa ninapenda kuandika makala za crime and investigation. nilipata wazo la kutengeneza blog ila nikaja kugundua kumbwe adsense hawa support Kiswahili hivyo nikawa nahangaika kutafuta mbadara...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari wanaJF naulizia kwa wazoefu au wanaofahamu utaratibu wa kusajili na gharama za shortcode mf. 55576 kwa ajili ya kampuni, msaada kwa wenye uelewa huo.
0 Reactions
3 Replies
995 Views
Hacker mwenye jina la kuroi sh amedukua account ya vevo na kufuta video ambayo imeangaliwa sana ya DECPACITO yenye viewers 5B na video ya shakira yenye takribani 2.5B viewers na pia amafuta na...
4 Reactions
38 Replies
3K Views
Hard Disk 1TB @130,000 2 + 2 = 4GB RAM @35,000 Kioo @50,000 Keyboard @15,000 Motherboard @90,000 DVD ROM @16,000 Adapter (Charger) @18,000 Bei is Negotiable Niko Same,Kilimanjaro or check me on...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Jamani account yangu watu wanani hack kila siku wanaichukua narudisha msaada kama kuna sehemu pakufunga watu wasiweze ku hack account yangu
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Habari zenu wanajamvi naomba mnisaidie kutatua hili tatizo nifanyeje kuliondoa inajitokeza sana maandishi ya error message mpaka inanikera tafadhali naomba msaada wenu kwa mnaoelewa zaidi
0 Reactions
4 Replies
597 Views
Wakuu mambo vipi .. Hope Ur all fine...aisee laptop yangu Hp Elitebook 8840p feni haizunguki inapata joto hadi inazima yenyewe sasa nahisi ili tatizoo linaweza kuua hata motherboard .... nifanyeje??
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari zeni wakuu Nimereset simu yangu ya Huawei Window Phone leo ila whatsapp haipo kwenye store inasema Whatsapp is not cumpactible with your OS.Kuna njia nyingine ya kufanya ili niweze...
0 Reactions
3 Replies
925 Views
IPO database ya email za makampuni mbali mbali hapa Tanzania. Iyo email list ni up-to-date na zipo nyingi sana Uwezekano wa kuzi filter upo ukapata email list kwa ajili ya category ya wateja...
0 Reactions
3 Replies
769 Views
simu yangu aina ya huawei y540 imejizima ghafla nimeiflash mara mbili inatulia kwa muda wa kama wiki mbili then inazima vp hapo tatizo ni nini?na mpaka sasa nikiichaji haiingizi tena chaji
0 Reactions
3 Replies
691 Views
Simu yangu tecno w5 lite, hii ni siku ya pili haipokei simu yoyote na meseji wala Whatsap huwezi kuziona direct zikiingia. Naomba kusaidiwa tafadhali
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Habari wakuu. Nilirestore simu yangu wakati narestore cjui ni betr ilikaa vibaya ikazima toka siku hiyo nikiiwasha hiyo cm ikiaanza kuwaka tu inajizima inawaka tena inajizima tena huu ndo mchezo...
0 Reactions
4 Replies
737 Views
Ni muda kidogo sijalog in humu kutokana na kazi na sehemu nilipokuwa ila sasa nimerejea ila kidogo kuna kitu kimenishangaza ila sijajua kama ni simu yangu au nimeseti vibaya au ni utaratibu...
0 Reactions
0 Replies
929 Views
Wakuu,hivi kwanini kampuni nyngi za Tz, zimekuwa slow kuimplement issue nyingi hasa zinazohusu teknolojia... Yani sisi tuko nyuma muda wote kwenye mambo hayo... Moja ya issue ambayo wengi...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Back
Top Bottom