Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habar wadau. Natafuta kioo na touch ya lenovo S650
0 Reactions
1 Replies
691 Views
Wapendwa wakuu wa jukwaa habari zenu Nimechoka kutumia simu flani ambazo hata makao makuu yake hatuyajui. Nataka nihamie kwa Samsung, sasa naombeni ushauri kati Samsung J7 neo na J7 prime ipi...
0 Reactions
44 Replies
10K Views
Habari wakuu, simu yangu Microsoft Lumia Windows 10 inanipa errors 0x8000000e. Kuna application ime-stuck , haifunguki na haikubali ku-uninstall. Naomba msaada kwa mwenye kujua namna ya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari... Watu wengi wamekuwa wakijiuliza ni kivipi wanaweza kudukuliwa(kuwa Hacked) iwapo wapo mtandaoni. Kwanza kabisa Wadukuzi ni watu wenye akili timamu nikimaanisha kuwa wanatumia akili mingi...
9 Reactions
36 Replies
5K Views
Je hio inafaa kwa bei ya laki mbili na ishirini?? Nimeleta kwenu wataalam kabla sijanunua naomben ushaurii
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habarini wakuu, Natumaini mko fresh, niende moja kwa moja kwenye mada. ni muda mrefu nilikuwa kimya kidogo kutokana na mambo ya kuongeza elimu kidogo maana wanasema elimu haina mwisho. Najua humu...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu nijuzeni namna Nano au Micro Gps tracker zinavyokuwa inserted or planted kwenye Mwili wa Binadamu, Maeneo gani haswa huwekwa Chip izi? Je ikawekwa inakuwa inapata source of power kutokea...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ninafriends 5k fb nifanye je hili niweze kupata pesa kupitia idadi hiyo ya friends fb?
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Habari wadau wa jf, nina simu ya samsung galaxy note 3 inaandika unauthorised actions have been detected restart your device to undo any unauthorised changes. Na hiyo message ikitokea mtandao wa...
0 Reactions
6 Replies
675 Views
Wakuu, Hii simu imenianzia hili tatizo ambalo natamani hata niipasue. Yaan kila mara sinabudi kufanya factory reset. Naomba msaada wakuu.. NB: Tecno camon x ipo vizuri? Nataka...
0 Reactions
5 Replies
885 Views
Hey wakuu. Ukiondoa mafundi was Machinga complex kwa Computer, pande gani hapa Dsm naweza pata maintainers wazuri coz Ghorofani pale wamefeli. Acer laptop, tatizo black screen, moto moto inakata...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Buy Legit Passports, IDs,DLs,Permits, WhatsApp (+4915735985613) Citizenship,Second Identity, Certificates, and other country documents available! https://www.onlinedocumentproviders.us/ We are...
1 Reactions
0 Replies
746 Views
Habari za majukumu wakubwa na wadogo.. Sim yangu ina tatizo moja ambalo ni kwamba pindi unapoichaji ikiwa 'ON' haingizi moto, lakini cha ajabu unapoizima tu, ndo inaanza kuruhusu kujichaji...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari zenu wadau wangu wote wa JF, natumaini wote ni wazima wa afya na familia zenu. Samahani kwa usumbufu wowote nitakaosababisha ila naomba msaada wenu ni jinsi gani nitaeza kulitambua betri...
0 Reactions
33 Replies
10K Views
Specification zake ni Pasua kichwa 13 mega pixel 64GB internal storage 3GB RAM 64 bit operation system ya processor
1 Reactions
20 Replies
5K Views
Wakuu salaam Naomba wana IT mnipe procedure za kuactivate bluetooth kwenye PC kwa sababu nakosa namna ya kuamisha file kutoka kwenye sim kwenda kwenye PC baada ya USB kugoma kuconnect. nawasilisha
0 Reactions
5 Replies
8K Views
Habari za majukumu. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,hivi majuzi niliona karatasi iliyotoka wizarani ikiwa imeainisha kodi kwa wamiliki wa vyanzo habari vya mtandaoni. Kwa upande wangu mm...
1 Reactions
0 Replies
841 Views
Habarini wana jf me Leo kimenikuta kizaa zaa kwenye group moja hivi la whatsapp nimeshindwa kum leftisha admin mwenzangu wakati Maa admin wengine nimeweza ila huyo alio ni add mm na kunip uadmin...
0 Reactions
3 Replies
595 Views
NINI MAANA YA VOLTAGE SURGE Voltage Surge pia hujulikana kama Transient Voltage.Ni tukio la mabadiliko ya kiwango cha umeme(voltage) au Mkondo wa umeme(Current),tukio ambalo hutokea kwa...
4 Reactions
14 Replies
10K Views
wadau kwema!? namba za imei zimeblock hvyo hazioneshi mtandao na ukiweka laini inasema "No network display" Msaada juu ya tuta tafadhali. S/N.R33D30ZB6TT: IMEI:356562050255990
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom