Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Sio ya gharama sana ila kwa matumizi yangu inanitosha, Tecno boomj7, niliyoinunua tangu mwaka 2015 Nakumbuka enzi hizo ndo zlikua hot cake ndo zinatoka, Nakumbuka niliivuta kwa shilingi 240,000...
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Kwa jina inaitwa Fx sound zamani ikiitwa DFX, ni software nzuri kwa ajili ya kuboresha quality ya audio pindi unapozi play kwenye computer yako. Inafanya kazi ya ku restore quality utapata high...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Habari sana Jamie forum . Chief_ mkwawa naomba Msaada nimenunua simu samsung galax j7 prime, mbona haina feature za samsung. Japo iko vizuri mtandao, camera, lakini ni nzito tofauti na Samsung...
0 Reactions
160 Replies
18K Views
Wandugu Nina tatizo la malware kwenye Windows 7 Ultimate. Natumia Dell Inspiron 1525 laptop. Sasa, over the past three days, in spite of having booted in safe mode and run Avast (free version)...
0 Reactions
1 Replies
671 Views
Laptop Acer Hard Disk:500gb RAM:4Gb Processor: 2.3GHz Condition:Good Price:Laki 2 (maongezi yapo, 0744710879)
1 Reactions
6 Replies
883 Views
Soma zaidi full stori[emoji116][emoji116] www.andrewsoftware.com
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu naombeni muongozo wenu kuhusu ipi ni simu nzuri ya Samsung J series?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Miui 9 Offer 420k Negotiable Used 1 month Condition as new Na box yake utapewa
2 Reactions
5 Replies
679 Views
Kwa yeyote anaevutiwa na kuanzisha studio (yani awe part of the invention) ya Visual Effects, 3D & 2D animation na film making kwa ujumla tuwasiliane kupitia iamthebestofmykind@gmail.com NB ...
4 Reactions
3 Replies
1K Views
Naombeni msaada jinsi ya kutumia port au proxy server kupata unlimited internet.......
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Habari za mida wadau Nataka kusikiliza sauti ya tv kwa kupitia home theatre system, nimejaribu kutumia waya wa HDMI(high definition media interface cable) lakini sijafanikiwa. Kwa yeyote anayejua...
0 Reactions
20 Replies
9K Views
Wenye evidence waweke
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Download the file in link below. Phone must be flashed with the flashtool attached in the file. Tecno k8 frp solution - Télécharger - 4shared - Abdillah Irumba Goodluck
1 Reactions
20 Replies
5K Views
Teknolojia iliyounganishwa na mtandao, inayojulikana pia kama Internet of Things(IoT), sasa ni sehemu ya maisha ya kila siku,ikiwa na usaidizi wa smart kama Siri na Alexa kwa magari, watches...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
App ya telegram ni nzuri zaid kuliko Whatssap kuna anaebishaa???? Telegram group ni 5,000 members kwa supergroup... Pia naipenda kwenye kushare mafile km pdf, ppt, dox kwa haraka.. Kwangu pia...
8 Reactions
155 Replies
43K Views
Naombeni mnisaidie hii simu yangu techno L8 baadhi ya mitandao ya kijamii inagoma kama vile whatsap,facebook msaada pls
0 Reactions
1 Replies
986 Views
Ukitaka kufuta vitu kwenye app ya crome ulivoangalia hata ukienda google visionekane unafanyaje? Mana nimefuta lakini nikienda google vitu vya kwenye app ya crome vinaonekana
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nataka kujua jinsi gani ya kupata five star rating katika facebook page. Je, ninatakiwa kuwa na like ngapi mpaka nipate five star? #nawasilisha
0 Reactions
3 Replies
979 Views
Habari wakuu,naomba kusaidiwa hili tatizo kwenye simu Samsung Galaxy Note3 imeanza huu mchezo tangu juzi.inatokea hivi kila nikifungua Play store,msaada wenu tafadhali.
0 Reactions
2 Replies
938 Views
Back
Top Bottom