Habar!! Wanajf kuna pc hp ya mdgo angu alikua anatumia window 10 baada ya kubadilisha na kuweka window 7 kuna baadh ya vitu vilionekana kupungua Mfano kutoka bit 64 had 32 na pia ram inaandika...
Habari wadau
Jana nimebahatika ku update facebook app kwenye simu yangu.....kwakweli hii version mpya kwenye simu yangu ni shida
Simu inastak hovyohovyo
Simu inakua slow
Fb app yenyewe...
Leo Nimeona Tecno wameleta Software Update .....Nimedownload hiyo updates na nisha install ....Hiyo New Upandes nimeona ina Fix Some Bugs ...
NB: Ikumbukwe hii simu kabla ya kufanya updates ilikua...
Jamani kwa wajuvi kila nikiunganisha huu waya kwenye laptop ili niangalia picha kwenye screen ya Tv inagoma, inakuwa kama inataka kuunganishwa kisha inakataa na kuaandika no signal.
So naomba...
Aisee hii Oginsta naona inakataa kutuma sms direct, inanambia ni Update. Na nikifuata sehemu ya ku update nakutana na play store ambapo insta ya kawaida iponUpdated. Msaada
Habari wakuu
Naomba kufahamu tofauti na maana ya 32 bit na 64 bit katika pc.
Pili Je ikiwa pc game lina recommend 64 bit kuna uwezekano kuplay game hilo keenye pc ya 32 bit?
Ahsante.
Kidogo nilicho nacho nakitoa kwa wengine bure kabisa, ntakufundisha softwares za simu ujipatie kipato, maisha ya sasa ujuzi muhimu ili ujiajiri. Njoo pm, wenye uhitaji tu.
Wakuu naomba kujua je ni kiburn kitabu kwenye DVD hicho kitabu mtu anaweza kukicopy na kukiweka kwenye mfumo wa Wards?
Na je mtu anaweza kikisoma kwenye TV?
Naomba anaye jua kwa sababu nina...
Wakuu nina pc yangu ya hp kwa siku ya tatu leo mfululizo PC inawaka nikichomeka kwenye chaji nikiitoa haiwaki.
Nifanyaje ili iweze kuingiza chaji na kuitunza ili hata nikiichomoa kwenye moto...
Who wants FREE BITCOINS, The Only Legit Way To Get Bitcoins For Free and Paying to your wallet......See payment proof ! Register Link Earn Bitcoins while using Google Chrome
Mining FREE Bitcoin...
Habari zenu wana jamvi natumia samsung grand prime plus iko vizuri na perfomance yake inaridhisha ila kuna kitu nashangaa mbona hii android 6 ukikatak kuongeza fonts nyingin tofaut na zile za...
Salaam wakuu,
Kama heading inavyodokeza, nimeconnect cyberghost vpn kwa muda wa dakika 12 tuu lakini nimekuta nimekuwa tracked 70 times! Hapo hua siongelei siasa, sihamasihi maandamani, simtukani...
Habari zenu wakuu,
Kompyuta yangu (Lenovo) imepatwa na mushkeli. Inaingiza umeme na taa ya kuwasha inawaka na kuzima mfululizo lakini inashindwa ku-boot. Nimejaribu kutoa betri na kuweka tena ila...
Hellows..asee ukiachana na kuchukia tecno. hakuna kitu sikipendi kama nikimpigia mtu mwenye tecno akipokea tuu utasikia kale ka vibration "bruuum"
je wew ni kitu gani hukipendi kwenye simu za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.