For years now ,it is my weakness to watch porn videos. But unfortunately I can't control ma self to it even though I have committed ma self not to watch them.plz any one with an idea!! Frankly I...
Nina king'amuzi cha startimes kipo ila hakina antenna nimepata antenna bila waya nawaza kuunganisha jee naweza kutumia waya kama huu hapo pichani kama waya wa antena??
Hello,
I want to change my profession either partially or completely.for now i am clinical oriented.graduate holder of BSc
Am fast learner,eager to learn new things(technical or scientific)...
Wadau Habari,
Nilikuwa na akaunti ya Facebook. Juzi simu yangu ilizingua kidogo hivyo Nika Uninstall Baadhi ya app ikiwemo Facebook.
Baada ya hapo Nika reinstall ila Facebook kila nikitaka ku...
Habari ndugu zangu....
Laptop yangu kwasasa nitakapoichomeka charge inaleta mawimbi mawimbi katika screen(kama inavoonekana katika picha) inanipelekea kuizima tu na kuiwasha tena maana siwezi...
Wakuu habar zenu. Nahitaji muvies ambazo zina surround ya 5.1. kma unazo niambie jinsi gani naweza kukupata.
Iwe muvie yoyote. Ilimradi iwe 5.1 au 7.1 au 9.1
Napenda sana ku enjoy effects hata...
Ndugu naombeni msaada,
TV yangu ni Samsung flat screen inch 32, leo nimeiwasha inawaka lakini inatoa mwanga hafifu sana, yani 95 % ni kiza tu, msaada wa fundi tafadhali.
Niko Dar, no 0714495367
Salaam kwenu Wakuu.
Nimekuja kwenu bloggers naomba msaada wa mawazo nifanye nini ili niweze kupata viewers kuanzia 1000 na kuendelea kkwa siku. Nina blog yangu ya blogspot ambayo nimeiunganisha...
Habari za muda huu wanajamvi wa jukwaa hili.
Nielekee moja kwa moja kwenye tatizo nililokumbana nalo kwenye kufanya installation ya OS ya Linux Miny Cinnamon 18. nilikwama hapa kwa sababu nataka...
Wapenda msaada kwenye tuta line yangu ya voda imejiblock, kuna mtu alikuwa achezea cm yangu sijui kaifanyaje kablock sim card inaniambia niweke PUK na mm wala sikumbuki kile kidude chaline kiko...
Hellow DJ's, Beat makers and Producers out there, post anything related to this stuff, trick, melodies, vox, chops, or whatever by making sure it's the work of your hands & ears, no remakes.
Ni changamoto gani zinalikabili soko la biashara za kimitandano mfano jumia, zoomtanzania, kupatana n.k na wewe kama mtumiaji wa huduma hizi nini kina kukwaza katika utumiaji wake na ni kitu gani...
Hellow JF member naomba kwa wenye ujuzi wa hii maada tuelimishane. nawezaje kutengeneza tangazo Mf nataka kumnadi msanii liwe na annimation na graphic nzuri then nitatumia software gani au kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.