simu yangu imevamiwa na virus ambaye kila baada ya sekunde au dk kadhaa inatokea text kwenye screen yenye maneno "hello world" imekuwa inasumbua maana popote ulipo inatokea na kuficha kile...
● kutokana na hali inayoendelea sasa hivi nchini ya ku register blog na online content streamer
Ambapo kama sikosei kodi yake ni mill 2 kwa mwaka. (Kwa jinsi nlivyo ona kwenye mahabari)
Swali...
habari wanajf
nilikuwa naomba kuuliza wale wataalamu programming.
kuna system ya offline imefungwa katika pc yangu..ni system ya kufanya mauzo na nununi na kuweka recordings za miamala yoote...
Wakuu ningependa kufaham kuhusu simu tajwa hapo juu, maana nina best friend wangu amenipatia but kila ninapo jaribu kufanya inside FACTORY RESET inakataa.
Pia nimejaribu kufanya SYSTEM UPDATE but...
Daaah
Leo nmesajili line ya vodacom ya kawaida kwa shilingi 1000 tuu
Nikabonyeza *149*03#
Daaah nilichokikuta sijaamini
500 -Mb 300 kwa week
2000-GB 5 kwa week
5000-GB 10 kwa week
Daaah...
MSAADA: Nime restore to default Kingamuzi cha CONTINENTAL. Nilikua na lengo la kusech channels manana zilipotea na kila nikijaribu zinarudi local channels peke yake nikashawishika kurestore hapo...
Habari za leo wakuu
Poleni na majukumu ya kila siku
Siku mbili zilizopita nilikuwa nafungua app ya afro box inafungua vizuri
Ajabu Jana na leo Haifunguki
Net iko vizuri lakini Haifunguki...
Laptop yangu HP probook 6360b ilizima ili Hali battery ikiwa full charged na nilipojaribu kuiwasha tena imeshindikana. Nilijaribu connect kwenye umeme but still haikuwaka.
Nimepeleka Kwa fundi...
Wataalm naleta hilo tatizo ambalo lina kama wiki ya pili sasa, jana nikaamua ku-reset simu (Factory Data Reset) ila nashangaa bado tatizo linaendelea.
pia kuna shida ingine ya mwanga wa screen...
Habar wanajf niko na pc aina ya hp nimehangaika sana kutafuta setting ya kupunguza mwanga lakin siioni hadi nimechoka yan sijui shida window iliopo au vp???? Msaada plz
ninaendelea kutoka
Namna ya kuandaa maabara yako kwaajili ya kufanya majaribio ya udukuzi
Sasa leo tunaenda kuangalia jinsi ya kutengeneza virtual lab katika pc yako.
kwanza kabisa ni lazima...
Ndugu naombeni msaada ka kuna fundi anaweza nisaidia, TV yangu ni Samsung flat screen inch 32, leo asbh naiwasha inawaka lakini haitoi mwanga wowote, yani hata maandishi yanaonekana kwa mbali...
Hellow wana JF. Naomba msaada wenu wa jinsi ya kupata, kuinstall na kutumia android apps kwenye simu ya window. Nimejitahidi kutafuta namna lakini nimeshindwa.
Natumia simu ya MICROSOFT LUMIA 950...
Nauliza Nina TV inamiaka nane ndani sijaitumia but niliyokuwa naitumia,,now imeungua,,je naweza itumia hii iliyokuwa ndani bila kuitumia muda?haiwezi ungua,nyaya ndani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.