Wasalaam,
Naomba kupata msaada wa kupata apk au namna yoyote ya kutafsiri kitabu kilichoandikwa kwa lugha ya kiingereza na kukitafsiri kwa lugha ya kiswahili?
Mwenye kujua namna ya kufanya huo...
Hizi hapa ni sababu 10 za mashambulio ya DDoS. Soma hapa.
(10 Most Common Reasons You Get DDoS Attacks)
Pia unaweza kusoma hapa.
DDoS is short for Distributed Denial of Service. DDoS is a type...
Katika thread hii tutaelimishana changamoto, faida, misaada na mambo mbalimbali yanayohusiana mifumo endeshi ya kompyuta na vifaa vingine vinavyotumia linux.
Utangulizi
Linux ni mfumo endeshi wa...
wana JF naomba masaada wa kujua simu gani kwa sasaivi ni nzuri, yaweza kuwa ni brand ya zilezile kama tecno na zingine nachotaka kujua toleo gan wametoa kwa sasaivi ni nzurii sana na bei ya kawaida.
Ni apps gani naweza kutumia Kwenye sim YANGU, ambayo itaweza kunisaidia kuficha apps nyengine isionekane kwenye menu, kwa mfano mm natumia WhatsApp 2 kwenye sim 1 nataka nifiche hii WhatsApp 1...
Kama title inavyojieleza ni kwamba nina desktop ambayo inashindwa ku 'read' blank / empty DVDs/CDs hivyo kuweka ugumu ktk kuchoma files, cha kushangaza ni kwamba nikiweka DVD ambayo ina file yyt...
Nafahamu kuwa tofauti kuu ni mfumo wa ku-display picha, kama brightness, refraction,angle of view n.k....je katika matumizi ya kawaida tofauti ni ipi hasa ambayo watumiaji mliotumia aina tofauti...
Habari!.
Kuna application niliwahi ikuta ofisi fulani yenyewe inafanya kazi ya kuconvert maneno na kupeleka kwenye Microsoft document, excel au pdf format.
Lakini kubwa zaidi inawescan vitabu, na...
Habari ya muda huu wadau wa hapa!
Nina laptop yangu aina ya Dell imemwagiwa maji na mtoto kwenye maeneo ya keyboad,kwa mujibu wa huyu chautundu wangu inaonyesha amemwagia maji kikombe kizima,huwa...
Chief mkwawa na wengine tafadhali nisaidieni mudau mwenzenu..............Nina it1408,kila nikijaribu kuiroot nashindwa,nimetumia apps mbalimbali kama kingroot,kingoroot,framaroot n.k lkn imegoma...
System yangu ya sonny imezima ghafla hyo lcd screen na nilikua natumia sana Flash sasa nadhan labda imegongwa virus je kuna namna ya kuweza kufanya kitaalam kutoa virus...na je inawezekana ku...
Wanajamvi habari.
Natumai mpo salama; niende kwenye lengo kamili.
Me nilikuwa naomba mtu yeyote mwenye ujuzi wa kuunganisha computer moja na nyingine kwa kutumia Network kupitia kifaa kinacho ita...
Habari mpendwa???
kwa wale wenye COMPUTER jambo hili linawahusu >jinsi ya kufunga computer yako kwa kutumia Usb flash (hackers activities]
HATUA ZA KUFUATA (kuwa makini)
1. Download na install...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.