Naomba msaada kuhusu tatizo la printer ni aina ya hp deskjet.
Tatizo nikijaza wino Ile taa nyekundu ya kuonesha wino umeisha inawaka na nikiprint inatoa copy lakini ni iliyofifia na wakati...
Habari, hizi kampuni za utengenezaji wa vitu zinatofautiana Sana katika bidhaa zao hasa linapokuja suala la ubora na uimara wa bidhaa. Karibuni tushirikishane ubora wa bidhaa za makampuni haya...
habari wana Tech, mimi ninamiliki simu aina ya Huawei Gr5 2017 hii simu tatizo lake ni status bar uki pull down inakataa pia muda mwingine inajifungua mafaili yenyewe unaweza ukawa unatype messeji...
Wakuu habari za leo
Kuna simu ya mteja alileta chaji pia kufunguliwa Email
Nikajaribu kuifungua ikawa inakataa kulog in
Bahati mbaya nikapata dharula ya kwenda msibani
Kibandani nikaachia...
nina uhawei G660-L075 nahitaji kuroot nahitaji kwa kutumia pc naombeni mnifahamishe nitumie software gani na nifuate njia zipi tafadhali naombeni msaada
Jana nimepata shida sana ktk kumfungia jamaa king'amuzi cha azam hapa Tarime, ilibidi nitumie uzoefu kwa kuedit frequency za zuku TV ndo nikainasa but kwa low quality. Kwa anayezifahamu frequency...
Habari za uzima wana JF?
Naulizia kwa wale wataalam wa kufanya matengenezo ya smart TV. Kuna 32 LG imeunguza taa pia kioo chake kime crake pembeni kwenye kona (90°)
Sasa kwa tatzo kama hilo...
Apple wamerelease the new iMac pro, its a beast. Lakini price tag yake ni [emoji15] . Starting configuration at $4999. Na highest configuration at $13,848 bila tax.
Kunatofauti gani kati ya JavaScript na java? Ipi ni programming language ya kuanzanayo kama beginner ambae unataka kujifunza jinsi ya kutengeneza program?
Habari wataalam wa mambo ya IT
Naomba mwongozo wa namna gani nitarudisha meseji za whatsapp zilizofutika ie backup katika simu yangu. Kwani nimejitahidi kurudisha lakini sizioni au sijui wapi...
Wadau nataka kuinunua hii mashine naomba ushauri wa kina,,,
Muuzaji anasema inajumla ya mwaka na nusu ulikuwa inatumika kweny mradi ila baad y mradi kuisha ameuziwa kwa mnada hapo ilipo inawaka...
Kuna mchezo mmoja naupenda sana,ambao ni sawa na kubet,naitaji kuutengenezea program ambayo itakuwa kwenye mitandao,watu watabet na kuona live kama amepata ama amekosa,kila mchezo,mshindi analipwa...
Nime amua kuanzisha huu Uzi kwa sababu nazani wote tunajua kwamba google AdSense ili waweze kukuruhusu uweke matangazo yao katika YouTube channel yako lazima uwe na angalau subscribers 1000 na...
Wadau naomba mnitoe tongotongo hapa! Modem ya 4G lite inaweza kushare data kwa kasi ileile ya 4G kwenye computer yoyote??
Na kama hakuna ni computer ipi inaweza kushare 4G modem kwa kasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.