Wakuu habari za usiku
Kwanza nianze kwa kusema mm sio mpenzi wa michezo hata kidogo. Sifuatilii ligi yoyote duniani kwa sababu sina interest wala motive ya kufanya hivyo.
Ila atleast inapofika...
Ni kwa neema ya Mwenyezi inayotupa uzima.
Wakuu mimi nipo Dodoma naomba kuulizia bei ya Nokia E6 kwa dukani kabisa, Maana nimetembelea site mbalimbali naona tu last sold price. Je kwa hapa tz...
Nahitaji kujua ni simu gani naweza kuipata kwa kati ya Tsh 300,000 mpaka 325,000 .lakini isiwe tecno.na chipset take isiwe mediatek ,regardless kamera.
Kwa mafundi wa umeme naomba ushauri wa kitaaalam natumia umeme wa Generator kubwa tatizo linalonikuta ni kwa mara nyingi generator imekuwa inazidisha umeme ghafla na kuniunguzia vifaa vyangu...
mimi ni mpenzi mkubwa wa kutazama channel hii ya emmanuel tv, lakini kwa kipindi cha wiki mbili sasa channel hii imekuwa haipo hewani kupitia decoder ya Azam. je wadau wengine pia mmeliona hili...
Wakuu habarini!!!!!!!
Hivi inakuwaje unakuta simu ina RAM eg. 4GB af unakuta 3GB zinatumika na System af ww unabaki 750MB kwa ajili ya user applications
Naona nafuu turudi enzi za utumwa za RAM...
Computer yangu Dell6400 imezima screen baada ya kuhibernate haijawaka tena inaonyesha tu taa ya power on but screen hakuna kitu kinaonesha
So tatizo litakua ni nn?
Nahitaji kuwa fundi simu, redio, kamera na vifaa vingine vya electronic je naweza wapi kupata mwalimu kwa hapa dar. Na je ni vifaa gani vya muhimu napaswa kuwa navyo hasa kwa cmu?
Leo nahangaika wakuu na hili tatizo naomba mwenye uelewa na hii kitu anisaidie ,nina files zangu zenye ukubwa wa 2TB nataka ziweka zote DROPBOX je nahitajika kununua bundle kiasi gani kukamilisha...
Habari Wanajukwaa,
Saa tisa kasoro usiku wa kuamkia leo nilisikia kelele, ni kelele zilizokuwa zinashitusha japo sikuweza kugundua moja kwa moja kwamba ni kelele za nini na nilihisi ni kama...
Karibuni tushirikishane kwa sasa simu ipi smartphone ya kijanja ya kua nayo kwa bajeti ya 250k na ambayo ina
* kuanzia 2GB RAM
*battery 3000mAh na kuendelea
*internal kuanzia 16GB na kuendelea...
Wasalaam,
Napenda kujua wenye hii program ya Drawing huwa kuna gharama gani kuweza kuinstall na kuitumia.Nikijua bei au upatikanaji wake kuna jamaa yangu anahitaji kuipata hii kitu.Wale wazoefu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.