Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Mkuu hongera sanaa kwa hatua ulofikia ya kuon kuna umuhimu wa kutumi elimu ulonayo ya masuala ya computer kusaidia wenye matatizo. Naomba msaada wako me natumia hp 250 g5 w10... Nili update...
0 Reactions
2 Replies
904 Views
Naomba ushaur katika mashine ya photocopy, ambayo ni bora kwa maana ya matumizi ya shule kama mitihani na ofisini. Pia tukizingtia kigezo cha wino. Maake nmeambiwa kuna zingne wino wake ni ghari...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu habari. Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu. Haya makampuni makubwa ya simu, sana sana Samsung, wana products ambazo wanzitemgeneza kwaajili ya Africa na nchi nyingine za kimaskini? Sina...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Simu yangu Samsung galaxy J 5 prime browser inajifungua yenyewe na kufunguka website za ajabuajabu..tatizo ni nini? Je ni virus? Maana hii simu ina function ya device maintenance nimejaribu lakini...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau Hivi toner moja inaweza toa copy ngapi hadi kuisha??
0 Reactions
3 Replies
949 Views
Habar wana tech, naombeni msada wa namna gani ninavoweza kufuatilia mzigo wangu nilouagiza kutoka uk ni simu aina ya htc s one kutoka kampuni ya igagatz email yao ya mwisho baada ya kuwauliza...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Habarini wakuu, nimebadirisha OS kwenye PC yangu toka win 10 kwenda Ubuntu 16.04 Shida ni kwamba sioni Disk drives zangu za NTFS So naomba msaada Pia nahitahi ku update drivers pia. Msaada
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu heshima zenu, Samahani naombeni wataalamu wa mambo mnisaidie link au namna ya kuipata FTS 18, (first touch soccer) binafsi nimejaribu kuitafuta bila mafanikio .. Au maelekezo ya namna ya...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
wapendwa naomba msaada wa namna ya kuifanya application yangu ya facebook iwe wakati naperuzi zinapoingia post mpya iwe inaonyesha pale juu. Maana kila nikidoload naipata hii ambayo ukitaka post...
0 Reactions
3 Replies
698 Views
Hbr wana jamvi, nina bajeti ya Tsh 350,000/= Je ni Tv gani nzur ya kununua. ? Mawazo nilionayo ninunue LG inch 24 au Star X inch 32. Ushaur wa brand nyingne unaruhusiwa pia? Asante.
2 Reactions
71 Replies
8K Views
Natafuta wawekezaji, watakaoweza kuwekeza na kunipa support(finacially) katika project yangu ya e-commerce ambayo ni yakitofauti ikilinganishwa na makampuni kama kupatana, zoomtanzania ambazo ni...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Natumia Zantel SIM kwenye unlocked Wi-Fi router.Je upo uwezekano wa ku check bundle balance bila kuitoa SIM kwenye router na kupiga *102*03# ? Zaidi unaweza kutuma sms kwa kutumia router je...
0 Reactions
1 Replies
842 Views
Kichwa kinajieleza, naombeni msaada taadhali
2 Reactions
34 Replies
6K Views
Najaribu ku-root Android 7 bila kutumia pc na inaniletea shida. Msaada katika tuta.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
General taya wakuu member tajwa hapo anajiita General taya ni tapeli tena nimuite kibaka humu jamii forum kawa tapeli watu wengi kwa njia ya kuwaijia inbox anawambia kua anawaconect Na VPN mfano...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
I'm going to start a thread with a few tips that have been posted throughout the forums. If you have a new TIP, please add it directly below this main heading by adding a new subject title...
0 Reactions
2 Replies
532 Views
wataalamu na mafundi jinsi gani nitapata imei ya simu yangu ya android iliyopotea ? Msaada please
0 Reactions
8 Replies
8K Views
Wakuu msaada hapo juu kwa mwenye uelewa , Antivirus imeisha muda wako tangu mwezi uliopita.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Wakuu,msaada unahitajika wa hiyo kitu hapo juu.Mimi ni Land surveyor,naihitaji hii AUTOCAD LAND DESKTOP DEVELOPMENT kwa ajili ya kazi zangu katika masuala cadastral surveys.Kabla sijaingia...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Ujio mpya wa Windows 10..Hapa tutaongelea yote kuhusu Windows 10.. Kwa msaada, maoni, angalizo na mengineyo
0 Reactions
1 Replies
822 Views
Back
Top Bottom