Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Msaada kwa mwenye kujua nime poteza simu yangu aina ya iphone 4s,nime jaribu kutumia icloud yangu kuitafuta lakini ina ni ambia your device is offline.hakuna namna nyingine ya kuweza kuipata means...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Bohr's model of the atom For a fascinating and highly recommended biography, see Ruth Moore: "Niels Bohr: the man, his science, and the world they changed". Knopf, 1966. Niels Bohr was a...
1 Reactions
38 Replies
5K Views
Ningependa kujua ni site gani naweza nikanunua templates za wordpress na joomla nyingi na nzur kwa bei rahisi iwe kwa mwaka au unlimited.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimeanza jifunza illustrator last week mpaka hapa ndipo nimefikia I need your views na ushauri hasa upande wa gradients, shadows n.k
2 Reactions
2 Replies
870 Views
Simu yangu samsung note 4 ina tatizo la network ina leta not registered kila ninapo weka lain. naomba msaada wenu wanajukwaa
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Jamani Kama kichwa hicho kisemavyo
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza hapo juu, jana nilikuwa kwenye harakati zangu za kutafuta tonge japo niishi, nikatoka Kimara nikawa nimeshuka Magomeni ili niende NIDA kufuatilia kitambulisho...
1 Reactions
34 Replies
4K Views
Habari wajuzi wa mambo, wakuu nipashwa kuipata eazzy 247 Tanzania app ya equity bank kila nikiitafuta play store siioni.
0 Reactions
18 Replies
7K Views
Habari za muda huu Wakuu Naomba kwa anaefahamu hili swala maana nimenunua laptop yangu nina kama mwezi mmoja umepita sasa nikawa nataka niidownload android studio kwenye pc yangu sasa nikashindwa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari za muda huu wadau, Kama kichwa cha habari kinavyoeleza, simu yangu aina ya samsung J3 ukikonect usb cable inacharge tu bila kukonnect simu. Mwanzoni ilikua inkonect vizuri tu lakini sasa...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Smartisan R1 hilo ndio jina la simu iliyovunja rekodi mwaka huu 2018 kwa kuwa simu yenye ukubwa wa ndani mkubwa zaidi, simu hii inakuja na ukubwa wa ndani wa GB 1000 sawa na Terabyte 1.
1 Reactions
13 Replies
3K Views
kuna sehemu sauti imepishana samahani kwa hilo ila inaeleweka Kama hauna cha kunipa basi tabasamu ukifurahi kisha subscribe my channel Ukishadownload software ya kucrack kwenye link hapo chini...
1 Reactions
2 Replies
5K Views
Za asubuh wakuu, Nimeibiwa simu yangu jana asubuhi, kuna uwezekano wa kuipata kama nna imei namba ya simu iliyoibiwa?
0 Reactions
26 Replies
5K Views
Naomba kujua zip code ya Tanzania.
1 Reactions
4 Replies
2K Views
5. Norway - Nchi ya Norway hadi kufikia mwezi may mwaka jana 2017 ilikuwa na uwezo wa internet yenye kasi ya MB 21.7 kwa sekunde. 4. Hong Kong - Nchi ya Hong Kong hadi kufikia mwaka jana 2017...
9 Reactions
74 Replies
8K Views
I hope wadau mpo poa... Natumia lenovo phab2 plus 670m na ina Android 6.0 nimeroot na nimeinstall adaway kuzuia matangazo lakini cha kushangaza matangazo yanakuja kama kawaida msaada nini nifanye...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nimekuwa muhanga kwa muda mrefu kwa tatizo hili, kuna mtu anaingilia mawasiliano yangu ya simu hasa call za simu, messeji na whatsap na facebook,nimehangaika kwa muda mrefu sana nimejaribu...
0 Reactions
40 Replies
13K Views
Habar za majukumu wadau. Tangu jana najaribu kupakua app but playstore inaniandikia download pending . Naombeni mnisaidie namna ya kutatua hili tatizo
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Habari za wakati huu ndugu. Pc yangu hp(celetron) USB-port moja haifanyi kazi ya upande wa kulia ambayo ipo peke yake. Ukiconnect devices inakuambia not recorgnised lakini yapitisha power.Kwa...
0 Reactions
8 Replies
933 Views
Habari blogger wenzangu kwa wale wanaotumia extension ya .blogspot.com na unaona inafanya domain yako kuwa ndefu sana sasa unaweza kuhamia .space kwa USD 0.87 Kama unauhitaji DM nikusaidie kila...
1 Reactions
0 Replies
782 Views
Back
Top Bottom