Salaam,
Wakuu nimenunua laptop yangu mpya. Sasa nahofia keyboard numbers zitafutika baada ya mda nikiwa naitimia. Sasa nimejaribu ku google nikapata kuna kitu kinaitwa glowing stikers. Hizi...
Kama wewe ni mfuatiliaji wa maswala ya Teknolojia basi lazima utakuwa unajua hivi karibuni Kenya ilifanikiwa kurusha satelaiti yake ya kwanza. Angalia video hapo chini jinsi tukio hilo lilivyokuwa...
Msaada wadau nina gpu ya nvidia inapiga kazi fresh but leo nimejaribu kuinstall gpu nyingine ya amd imezingua screen inaonesha no signal. So kama kuna uwezekano wa kufix hili tatizo naomba...
Je unapenda challenge ya 1v1 games kwa your device? Kama ndio, nafkiri games Za iMessage ni games nzuri sana.kwanza hii ni messaging app nzuri sana ambayo ni kwa ios. Users only na pia inaendana...
Habari,
Kutokana na tatizo la simu yangu (galaxy note3) kutoa sauti sikio moja tu la kushoto, nimepokea maoni mbalimbali, kwamba simu yaweza pokea earphone aidha ya njia mbili au tatu, sasa ombi...
Habari wana JF, leo nimewaletea njia mpya ya kuroot simu ya Android bila kutumia kompyuta, Kumbuka njia hii itakusaidia kuroot simu yoyote ya Android hata zile za tecno ambazo zimekataa kuroot...
Nina siku ya tano toka nianze jifunza kutumia Adobe Illustrator..
Hii picha nimeichora kwa kutumia pen tool kutoka kwenye picha ya mdada falni from google.
Jambo ambalo linanittiza sana ni kutumia...
Habari wakuu
Naomba msaada kwenu, kuna namba ikinipigia kwenye simu yangu inaonekana kama vile nimeiblock wakati sijafanya hivyo...nmejaribu kuchek block settings ziko poa!
Simu ni samsung s3
Wanajamvi, naombeni msaada wa namna rahisi ya kuzuia (block) website isifunguke kwenye pc. Kwa mfano sitaki website hii.. Je natumia au nafuata hatua gani rahisi zaidi.
Asanteni.
Habari wakuu,
Niende direct kwenye point kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Hii ps yangu ni wiki ya pili sasa inatatizo la kuwaka, ukiiplug kwenye umeme ile taa nyekundu inawaka kama kwaida...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, naomba msaada wa namna ya kupta product key za microsoft office 2007 make nimedownload hiyo microsoft office ila kila nikitaka kuinstall kwenye laptop...
Habari wakubwa,ninaomba msaada nime sahau neno la siri kwenye Samsung cloud simu nayo tumia na Samsung galaxy J7prime,ni kwamba simu imekua nzito haifanyi kazi km ilivyokua mwanzo sasa nilitaka...
Habari za jumapili wakubwa! Natumai siku ya leo iko vizuri sana.
Naomba kufundishwa jinsi ya kupositi video na picha kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.
Karibuni wakuu!
Wanabodi wa jukwaa hili,
WASALAM.
Nina simu zangu mbili, moja ni VODAFONE (VFD 200). Inatatizo la network unlock pin kwani baada ya kufanya updating ya configuration setting ikakata network...
Habar, husika na kichwa hapo juu
Nimenunua Samsung Galaxy note3 ni 2nd hand lakini sasa tatizo ni sauti inayotoka kweny headset huwa ni sikio moja tu la kushoto.
Natanguliza Shukrani za dhati...
Wakuu heshima kwenu,nina tumia hiyo simu kwa mda sasa..but imeanza tatizo lankustack stack....nikiweka lock na kutoa inafanya kazi kama sekunde 10 hivi then ina stack tena..nimeifanyia factory...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.