Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Tecno Camon X CA7 Frp Reset DA File For Infinity CM2, Inferno Dongle, NCK Box And Miracle Box. DA File For Infinity CM2 READ INFO LOGS...
0 Reactions
0 Replies
11K Views
wakuu naomba mnisaidie ku solve tatizo la randomly connecting and disconnecting niki plug smartphone kwa PC
0 Reactions
4 Replies
949 Views
Naomba msaada wa kuunganisha router ya TP Link na modem ya 4G ya Vodacom. Nikiunganisha modem moja kwa moja kwenye laptop napata internet, ila nikiunganisha na router hakuna internet...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari, Nina web system ambayo nahitaji ifanyiwe maboresho mbalimbali lakini nimewatafuta web developers wengi na wakiwemo zaidi ya kumi wa humu Jf ili wanifanyie kazi hiyo na tumekua tukizungumza...
1 Reactions
2 Replies
969 Views
Habari wana Jf leo ningependa tushee best shooting games za pc kwa wale wanaozipenda mimi naanza na hizi. call of duty modern warfare mw3 call of duty modern warfare mw2 call of duty modern...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Natumai mu wazima wa afya, Kwa yeyote mwenye game hilo naomba anisaidie Natanguliza shukurani zangu
0 Reactions
3 Replies
957 Views
Habari Zenu Wakuu.. Je! Ni Games gani unacheza right now? Iwe Kwenye any Device au Console.. Pc Playstation 1,2,3,4 X Box 360,One Android Iphone I'm currently playing Need For Speed Hot...
5 Reactions
151 Replies
9K Views
wazima?natumai mmekuwa na jumapili njema.naombeni msaada kama kichwa kinavoeleza..ni app gani nzuri ya kudownload nyimbo kwenye simu za iphone?karibuni..
0 Reactions
18 Replies
11K Views
samahani kwa wadau kuna program (game) nimedownload mpaka ikamaliza 100% kwa kutumia idm, sasa wakati wa ku extract kwa win rar imeshindwa kumaliza inaonyesha kuna file ndani yake limecorrupt...
0 Reactions
5 Replies
771 Views
Pengine umewahi kuota sikumoja unaweza kufanya uchunguzi kidogo katika computer yako au computer ya mtu mwingine , kujua alifanya nini , vitu anavyoweka katika computer yake na mambo mengine...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari, Nina web system ambayo nahitaji ifanyiwe maboresho mbalimbali lakini nimewatafuta web developers wengi na wakiwemo zaidi ya kumi wa humu Jf ili wanifanyie kazi hiyo na tumekua...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari za majukumu wana jukwaa... Naomba moja kwa moja niende kwenye mada naomba msaada maana laptop(HP COMPAQ)yangu inanisumbua inakataa kuunga Internet nimejaribu njia kadhaa inagoma...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Heri ya mwaka mpya wana JF tumeanzisha NGO yetu ya kilimo hivi karibuni na tumetengeneza tovuti yetu lkn kabla ya kumlipa aliyetutengenezea tovuti hiyo naomba wana JF wenzangu mtushauri kama kuna...
1 Reactions
1 Replies
995 Views
Sat Upload Center | Humax | Strong | Dreambox | Tv Channels
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hello wanajamvi kama kicha che habari kinavyooneshwa katika kujaza form ya shipping address kuna mambo kadhaa yameniwia ugumu. kama picha inavyyonesha hapo kwenye State/Province/County na Kwenye...
1 Reactions
7 Replies
6K Views
Sat Upload Center | Humax | Strong | Dreambox | Tv Channels
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari zenu wana tech, Najua kuna wapenzi wengi wa gaming, kuna wale wa pc, consoles na pia hata kwenye smartphones wengine huburudika pia. Leo ntawagusa zaidi wale wa PC, lengo kuu likiwa ni...
9 Reactions
37 Replies
7K Views
For Web Design Services | Domain registration | Hosting Services | Mobile app Development | SEO Optimization Services | Content Writing Services Contact us info@pawahost.com, 0687 535650...
0 Reactions
0 Replies
529 Views
hii hapa imekurahisishia kutembelea website mbalimbali duniani na ndani ya nchi ...ushawahi kujiuliza website mbalimbali tovuti zake... jibu lako liko hapa TOVUTIZOTE LINKS pata tovuti za wizara...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Hii ni note 5 imeanza hilo tatizo kama week mbili sasa niki restart au kuiwasha kawaida huwa inaganda hapo kama dak 15 hivi then inawaka kawaida... msaada kwa anaejua shida ni nini
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Back
Top Bottom