Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
As salaam aleikum wandugu mimi ni mmiliki wa blog ya kiislamu inaitwa Uislamuwangu.blogspot.com Naomba msaada wa kutengenezewa App kwaajili wa wasomaji wa blog yetu hiyo pia tumetafsir qur-aan...
1 Reactions
1 Replies
800 Views
Hellow wakuu, Hii ni wiki ya tatu sasa jamiiforum app nikitaka kulog in inaniletea maelezo ya ku register, Hata hivyo nikifuata hayo maelekezo inanirudisha nyuma tena kwenye kulog in. Tatizo ni...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Sio Apple pekee wanaoumizwa na mauzo ya iPhone X, Samsung pia wanapata tatizo hilo hilo. Kutokana na Apple kuwa wanategemea sana Samsung kutengeneza display/screen ghali za iPhone X, sasa Samsung...
3 Reactions
16 Replies
4K Views
Please check on your phone to know if anybody is monitoring your line. The step are very simple This is very very informative Please dial *#61# on your phone to know if your phone number...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuna mda assignment questions zinasumbua hatari hivi hakuna hyo app ya kujibu maswali? Kama unaijua naomba tupe link. Hasa ya science
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Wadau pc yangu ina tabia ya kukata sauti alafu baada ya muda inarudi... nimejaribu kuangalia sound drivers naona ziko poa. Msaada tafadhali, laptop ni hp na inatumia window 10 Sent using Jamii...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Hello.. Nimekua najiuliza hilo swali muda mrefu, kwaini directors hua wanatumia rangi ya kijani as backgrounds/"]www.jamiiforums.com/mobile-gallery/ce7eb8fd1de517c715a5093ea1029390.jpg[/IMG] Post...
3 Reactions
65 Replies
15K Views
Wakuu nimepata tatzo la computer yangu kushindwa kusoma flash, mouse au any USB devices ninazo jarbu chomeka katika port za hii computer, Na huniletea notification hii ya Unknown USB device...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ipi ni tofauti ya PSI na HorsePower (HP) nimetafuta mashine ya kuoshea magari (Pressure washer) nikakuta kuna ambazo uwezo wake upo kwenye SI unit ya PSI 2,000 3,000 5,000 n. k Kuna nyingine...
1 Reactions
6 Replies
5K Views
Wana Tech, Nimepatwa na tatizo la kuset kidish kidogo. Nina set zifuatazo, 1. Dish dogo tu size kama ya Zuku vile sihitaji dish kubwa. 2. Ku Universal LNBF 3. Receiver aina ya Digitek Plus...
0 Reactions
21 Replies
20K Views
Vpi za mida wa kuu ? Nina simu haina ya HUAWEI Y530-U00 imegoma kutoa call na kuingiza call yeyote ila sms, kuangalia salió, kuingia internet vyote vina fanya kazi Fresh ila kasoro tu kupiga simu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari za muda wanajamvi. Jukwaa hili limepoza sana toka Mkali trick,Psite shio watoke humu. Nataka nianze kulichangamsha upya, leo tujifunze jinsi ya kutengeneza bot bila kuwa na ujuzi wa code...
1 Reactions
7 Replies
6K Views
Inaweza ikawa ishawahi kuelezewa au kufafanuliwa kwa ufasaha zaid ila kw bahat mbaya post n nyingi na kuanza kusachi naic inaweza ikawa poat ya zamani sana. Kwa heshima na taadhima. Ningependa...
1 Reactions
14 Replies
6K Views
Baada ya Instagram kufanya majaribio ya uwezo mpya wa kupost picha au video zaidi ya moja kwenye post moja, sasa uwezo huo umekuja live kwenye programu zote za instagram. Mtumiaji ataweza kupost...
4 Reactions
3 Replies
6K Views
Habari zenu. Leo nataka niwape ujanja tofauti tofauti ambao mtu yeyote anayemiliki smartphone anaweza kutumia ili kulinda mambo yake yasivurugike hata kama mtu atakaa na simu yako mwaka mzima...
18 Reactions
164 Replies
22K Views
Nina huawei model G730-u10 baada ya kuinstall TWRP Recovery then nika boot into recovery,ikazima na ilipokuja kuwaka ikawa inaishia kwenye huawei logo then ina restart tena (bootloops).Nimejaribu...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Sat Upload Center | Humax | Strong | Dreambox | Tv Channels
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nilikua naomba kuuliza hivi inakuaje pc ina resolution 1440 screen yake but graphics card yake ni intel HD graphic hii imekaaje wadau je nitaweza kuu upgrade graphics? hii ni laptop sio desktop...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Here i Present Special Flasher For Itel Hang On Logo Phone That Can Not Be Flash With All Known Tools, Miracle Fail, CM2 Fail, Inferno Fail And ResearchDownload Fail. contact me nibure...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom