Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari za wakati huu wakuu Natumia computer ya simens fijitsu lakini kwenye keyboad zake nimeshindwa kuandika alama @ ambayo ipo kwenye button yenye herufi Q. So naomba maelekezo nibonyeze wapi...
0 Reactions
12 Replies
15K Views
Natumai wazima wakuu. Nina tatizo, flash disk haina kibutton chochote kwa pembeni. Zamani ilikua haileti matatizo yoyote ila imepata write protection ghafla. Siwezi kufuta kitu, siwezi ongeza...
0 Reactions
42 Replies
6K Views
Habari zenu ndugu zangu wataalamu wa simu za ios ninatumia simu aina ya Iphone 5s ni wiki ya tatu sasa kila ninachokaribu kuinstall inagoma na kuniandikia ujumbe wa ku upgrade ios ila nimeshindwa...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Nimekutana na wanafunzi wengi wa vyuo ambao angalau wanapokea Fedha za kujikimu kutoka Bodi ya mikopo lakini wanalalamika sana kwamba Mkopo haukidhi mahitaji. Ni kweli Katika soko laptop mpya...
0 Reactions
42 Replies
6K Views
Hivi ndugu zangu ni njia gani naweza kuitrack na kuipata Ila sikuiweka pass word na siifahamu imei namba Msaada tafadhali
1 Reactions
46 Replies
4K Views
Naomba msaada kuhusu jinsi ya kucrop passport size iwe na ukubwa wa 150x160 ili niweze kui apload bodi ya mikopo. Tafadhali naomba nisaidiwe kwa hilo kwa yeyote mwenye uwelewa kuhusu hilo.
0 Reactions
20 Replies
7K Views
Je website zipi ambazo naweza download software yeyote bure mfano xcode 3
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nina simu aina ya Samsung galaxy j8+ ila version yake ni 7.1.1 lollipop nataka Ku upgrade android 8.0 Oreo.
0 Reactions
8 Replies
4K Views
1.Ingia google play then download parallel space Hiyo ni program utaweza kutumia namba nyingine ya whasp kwenye simu hiyo hiyo Enjoy!!!!!
4 Reactions
15 Replies
4K Views
TTCL nimeshangaa nimefika mkoani Simiyu hamna coverage, hivi kweli mpo makini na biashara au kwa vile shirika ni la umma ndo hamjali huo mkongo mlo chimbia nchi kwa coverage hii ni aibu. Ukiwa...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Natumia windows 10 kwenye Laptop aina ya Hp. shida ni kwamba tokea jana computer mouse na keyboard hazifanyi kazi na ni ghafla tuu iliandika error occured na mpaka sahizi kwenye keyboard naweza...
0 Reactions
8 Replies
876 Views
Msaada ni website gani ambazo nitaweza kudownload kila aina ya program bure
0 Reactions
10 Replies
2K Views
jamni nimenunua simu mpya ya tecno w2 but haisomi laini moja ila hiyo laini nikiiweka kwenye simu ndogo ya batani inasoma vizur , naombeni msaada ndugu zangu katika hili
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Habari wadau wa Jukwaa la Teknolojia. Nina simu ya Samsung Galaxy Note 3 Neo (SM-750L) ambayo nimeiroot kwa muda mrefu tu lakini sasa nataka kuweka Xposed Framework. Kwanza sijajua namna ya...
0 Reactions
40 Replies
5K Views
Hamjambo watu wa jukwaa hili? Naombeni msaada mnielekeze hivi ni app gani inayoweza kuzuia matangazo ya biashara yanayokuja yenyewe kwenye smartphone yangu. Yaani yanakera sana mara ingine...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari za leo wadau Swali langu kwenu ni kutaka kujua tofauti iliyopo kati ya engine za IST zenye 1290cc na 1490cc. Nini hasa kinachotofautisha aina hizi za injin? Je ni katika matumizi ya...
0 Reactions
9 Replies
7K Views
Tatizo la flat tv kutoa mistari ya rangi kwenye screen!!! .sababu ni nini!!!! .Tatizo linatengenezeka? MWENYE UFAFANUZI TAFADHALI!!!
0 Reactions
1 Replies
5K Views
hii nakumbuka kipindi cha nyuma kuna mtaalam aliwahi kuiweka humu ndani. nami niliwah itumia kwenye simu yangu ambayo ilikuja kupata mushkel ( rest in peace my phone) bahati mbaya nimelisahau jina...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Jinsi ya kujaza equity visa card details katika aacount ya playstation plus. Nataka niweze kucheza game za online
0 Reactions
6 Replies
2K Views
1. Copy the Following Command Line FORFILES /P %WINDIR%\servicing\Packages /M Microsoft-Windows-InternetExplorer-*11.*.mum /c "cmd /c echo Uninstalling package @fname && start /w pkgmgr...
1 Reactions
0 Replies
887 Views
Back
Top Bottom