Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Nipo Mwanza kwa sasa, naomba kwa yeyote mwenye kumjua fundi mzuri wa digital camera au hata simu hapa mjini anielekeze ofisini kwake kwani nina digital camera yangu imepata hitilafu sasa naogopa...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Habari wakuu.hivi karibuni email yangu ya outlook on my android inaniletea error hiyo hapo .nakuwa siwezi ku access chochote tena ina kuja kila baada ya 15 au 30 minutes. Kwenye pc same account...
0 Reactions
0 Replies
929 Views
TV yangu haiingizi Moto Nahisi Imeungua na mi nipo Mbali na Mjini, kwa anaejua kifaa icho kinachoIngiza moto kwenye tv hii anieleze nijipange kwa matengenezo
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Baada ya kilio cha muda mrefu hatimaye jana adsense Wamenitumia email ya kuapprove Site yangu kuweka matangazo yao (Nacheka kwa furaha).content zangu natumia kiswahili 100% sasa kinachonisumbua ni...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Habari wana JF, Leo ningependa kutoa somo hili fupi la jinsi ya kuangalia kama barua pepe yako imedukuliwa. Najua usalama wa mtandao ni kitu cha msingi sana na ni ngumu sana kujiweka salama...
0 Reactions
8 Replies
7K Views
jaman kila nikifungua firefox inaniandikia firefox profile not loaded nawezaje kuondoa tatizo hilo
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nina simu ya aina tecno w5 Lite ningependa kujua kama inawezekana kutumia WI-FI bila kuwasha data. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
15 Replies
6K Views
Najua watumiaji wengi tu wa Internet, hua wanakawaida ya kutopenda matangazo wanapotembelea tovuti mbali mbali kwenye mtandao wa Internet (hasa zile pop ads) kwa namna moja au nyingne "zinakera"...
0 Reactions
4 Replies
786 Views
Wakuu bado offer inaendelea kwa msimu huu wa sikuu .Webhosting kwa gharama ya 75,000/= tu ,kwenye hii offer utapata zitu vifuatavyo:= 1)Msql storage ni 1GB. 2)Bandwidth ni 40GB...
0 Reactions
1 Replies
523 Views
Wadau samahani kuuliza si ujinga naomba kujuzwa maana ya clear cache kwenye simu hivi ukiclear hiyo cache maana umefuta nini? Au ina maana umefuta app yote?
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Naomba aliyefanikiwa kuondoa write protection kwenye USB FLASH anisaidie, nimejaribu kutumia njia kadhaa mfano registry, discpart lakini kwa miaka kadhaa sasa bado, naomba mnisaidie maana...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nina-Samsung Galaxy S6 g920F baada ya ku upgrade OS kutoka 6.1 hadi 7.0, kwakutumia Odin3, network Inasumbua inaniambi NOT REGISTERED ON NETWORK, simu hazitoki, yaani hata salio siweziuliza.
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Wakuu naomba kuuliza kwa ambao wanafanya blogging na online jobs na ambao malipo hupata kwa njia ya Wire transfer je ukitumiwa commission yako kwa njia ya wire ili kuipokea kwa bank ya tanzania...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Wakuu habar zenu embu mnisaidie Hapa Kwa wanaoelewa Je naweza kuconneckt lain ya Cm ya tz nikija nje ya tz mfano Niko Rwanda Kigali na nkawa Naitumia inawezekna Ikafanya kaz kwa upande wa...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari, Naomba kuuliza hawa watu wanaovaa mask za mtu anayetabasamu ni wakina nani? Wanajihusisha na nini? Malengo yao ni nini? Thanks..
0 Reactions
35 Replies
6K Views
Habari zenu? Naomba mnielekeze namna ya kununua voucher ya StarTimes kwa MPESA. (Nimejaribu ku-search thread nyingine hapa sijaona) Pale ninapoambiwa niingize namba ya account, hivi namba ya...
1 Reactions
9 Replies
29K Views
Nikijibu ina GB 4 au Jibu sahihi ni lipi? wanataaluma msada
0 Reactions
7 Replies
683 Views
Msaada wakuu Naomba kufahamishwa jinsi ya kupata driver za HP laser jet 1200 ambayo ni wireless ktk Linus 15 mint 15 Oliva
0 Reactions
0 Replies
396 Views
kama una windows 10 niuzie niko mwanza nyamagana utaje na bei kabisa hapahapa
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habarini wana jamvi, Kama nilivyoainisha kwenye kichwa cha thread hapo juu, Nina PC yangu aina ya Dell ambayo batterry yake imeshakufa kitambo nikawa naitumia direct bila battery. Kwa sasa PC...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom