Wakuu habari za uzima!naitaji msaada wenu jinsi yakulitatua tatizo la simu Mara kwa Mara inaleta mwanga mweupe bila kudisplay maandishi yoyote Yale mpaka niizime niwashe Mara kadhaa ndio inakubali...
Bado offer zetu zinaendelea kama ifuatavyo
1)Webdesign kwa gharama ya 200000/=tu
2)Webhosting kw gharama ya 65,000/=, kwa vipengere vifuatavyo;-
1GB mysql space
40GB Bandwidth
Free Domain .or.tz...
Wajuzi wa mambo,nina tv aina ya lg tv flat screen,24 inches.Tatizo ni kwamba haina sehemu ya audio output.Nitumie ujanja gani kutoa sauti kutoka kwenye tv yangu kwenda kwa subwoofer.Je,kuna kifaa...
Laptop yangu Hp envy haisomi hdd nilipoicheki nimegundua kuwa pale port ya hdd inapoungwa na motherboard kuna jino moja limekatika kama kuna fundi hasa wa hardware au yeyote anaefahamu wap naweza...
Habari ya muda huu wakuu!
Nimepita showroom nikakuta hizi product Skyworth na bruhm. Zote zina king'amuzi cha ndani, USB port na HDMI port.
Nimependa muonekano wa picha zake. Napenda kupata...
Wadau naomba msaada wenu natumia galaxy j7 dual sim ya 2015... Lkn kwa siku za hv karibuni imekuwa haishiki mtandao wa 4g hata kwenye eneo lenye mtandao huo wa 4g.... Nilijaribu kwa tigo...
wakuu habari zenu naomba msaada kuhusi google photo hv nikitaka nizistore picha na video zangu pamoja na namba za simu contact kwa ajili ya kujilinda kama simu ikipotea au kuibiwa niset sehemu gani ?
habari zenu wana jamvi yani nilikuwa nina samsung yangu nzur mno j3 2016 kioo amoled kuna rafiki yangu akaipenda kwel na alikuwa anatumia tecno K7 ikambid anipe hiy tecno aniongeze na hela kidogo...
Wakubwa ..mim n mpenzi wa games..sasa kuna hili game naliona sana clips zake youtube..sprintire..je kwenye computer linaweza cheza??..wapi na nani alie nalo aniuzie..coz naliona tamu sana
Jamn nataka msaada hpa nina dell I5 3570 nataka kujua kama itacheza game kubwa kama gta v na nyingine kibao sasa sijajua n graphics gn ya ukubwa gan inafaa msaada plz
wadau ninasimu aina ya infinix note4 pro,hii Simu haikamati network huwa inaniandikia cellular data not available mwenye kujua jinsi ya kutatua hili tatizo la network anisaidie,shukrani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.