Forever IPTV language package:
Albanian
Arabic
Africa
Brazil
Bulgaria
Chinese
Czech
Canada
Cyfrowy Polsat
Dutch
French
German
Greek
Hungarian
Italian
India
Iran
Latin
Polish...
jamani habari zenu pc yangu ina tatizo kama tajwa hapo tatzo jingine ni kwenye external mouse yani imebadilika left button sa hizi ni right button na right button sa hizi ni left msaada hapo...
Kampuni ya Yevo Labs kutoka Sweden imeanza kuunda hedifoni (kisaa cha kutumiwa kwenye simu au kompyuta kusikilizia) ambazo zinaundwa kwa kutumia vyuma kutoka kwa silaha haramu.
Hedifoni hizo...
Virusi vya kompyuta ni tatizo la muda mrefu ambalo limeathiri watu wengi kwa namna moja au nyingine. Inawezekana wewe ni mmojawapo kati ya wale waliowahi kuathiriwa na virusi vya kompyuta...
Habari zenu wakuu. Naombeni msaada wa ufafanuzi wa kozi hizi kwa ngazi ya cheti na diploma unatakiwa ufaulu nini na nini kwa mwanafunzi wa O-level
1.Computing and information communication...
Habari nina idea ya network japo si kwa sana swali ni kwamba nawezaje tumia internet ya ofisini kwangu ata nikiwa mbali na ofisi ikiwa details muhimu zote muhimu ya network yangu nazijua kuanzia...
Ndugu wanajamvi in matumaini yangu mu wazima wa nje!
Nina simu aina ya xiaomi redmi 4a kila nikijaribu kutafuta namna ya kufungua akaunti ya MI sipaoni. Bahati mbaya hii simu nimenunua kwa mtu...
Wakuu wote ambao ni Action gamers wa gamez km GTA,COD,BIA
Naomba kujua kama kwa specification za ram4gb, processor icore3-6006U, 64bit OS kwenye windows10 naweza cheza GTA 5 kwenye pc?
Pia...
E3 ( electronic entertainment expo).ni maonyesho makubwa kabisa duniani kwa ajili ya burudani na michezo ya kielektroniki ( computer and console games).Maonyesho haya hufanyika kila baada ya...
Naomba nisaidiwe kutokana na hizi picha kwani zamani (Desa) ilikuwepo ila sasa haipo kama picha zinavyoonyesha.
Naomba msaada njia ya kumaliza hili tatizo.
wapendwa binafsi napenda sana kucheza game za magari kupitia pc yang core i3..changamoto..kila nikishusha game naambiwa lazma nilipie...hivyo basi kwa mtaalam anaejua kudownload mzigo bila...
naomba kujua course ya health information system inalingana na ile ya computer science? na nafasi zake za kazi mbona sijawahi kuziona? msaada napenda kwenda kuisoma pale UDOM
msaada tafadhari
Habari vipi wakuu
Kuna tatizo la installation ya POSTGREsql-10.4-1 windows maana kila nikijaribu kuinstall inaandika
THERE HAS BEEN AN ERROR.UNABLE TO WRITE INSIDE TEMP ENVIRONMENT VARIABLE PATH
Habari zenu wana jukwaa please naombeni msaada wenu Simu yangu ni samsung note 3 inabagua kusoma sim card mwanzo nilipochukua ilikua inasoma halotel na voda ila tigo na airtel zilikua zinagoma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.