My dears Karibuni tujenge Taifa jamani kwa kupeana maujuzi ili wengine tu copy na ku paste huku tulipo kwa maslahi binafsi kwanza na ya wengine pia hapo badae.
Nilikuwa napenda kujuzwa kutoka...
Wakuu hebu naomba mnisaidie hili..
ninatumia internet ya TTCL ile ya unlimited,nalipa kwa mwezi hapa ofisini kuna computer tatu na yangu mara nyingi ndo inatumika wengine wengi wanakua wanapiga...
Habari zenu Wana blog wezangu mm kijana mwenye ndoto ya mafanikio kupitia blog nilifungua blog mbili miaka miwili iliyo pita niliamua kufanya kazi hii ya blog niweze tengeneza pesa changamoto...
husika na title hapo juu,tafadhali kama kuna anaejua jinsi ya kusasisha(ku update) hizi receiver za Free To Air naomba atujuze...mimi nimeishia kuelewa hapo wanapotoa update mpya kwenye mtandao...
Habari!
Ngoja tuende kwenye point.
mwaka 2016/17 tovuti nyingi za kitanzania zilikua kwenye kwenye orodha ya tovuti 10 Bora zenye watembeleaji wengi zaidi Tanzania.
Hii ilifanya hizi tovuti...
Nina HDD SATA ambayo nikichomeka kwenye PC Inawaka vizuri kitaa chake na ina detect alafu inakata yaani haionekani tena na nikienda kwenye storage siikuti na haijawahi dondoshwa je hapo tatizo ni...
wakuu heshima kwenu
nina tv yangu used aina tajwa hapo juu nchi 50 nilinunua zanznibar...sasa imeanzaa tatizo la kujizima yenyewe..nikiwasha inakaa kama dakika kumi hivi inazima na nikiwasha tena...
Salam wana jf husika na kichwa cha habari hapo juu Leo PC yangu ilikuwa ni window 8 sasa nikawweka CD ya window 10 nikaingia kwenye window setup lakin inagoma na nikijaribu kuzima kurudi kwenye...
Samsung galaxy grand prime pro 2018 sifa zake 5inch qhd super Amoled display,snapdragon 425 4g lte,android 7.1.1 with samsung experience 8.5,16gb rom expand up to 256Gb sd card,1.5gb ram,camera...
Habari wakuu wangu katika idara
Kuna laptop compac inashindwa kumalizia ktk upigwaji wa windows mpya baada ya kujizima na kushindwa kuwaka na kumalizia
Ikiwaka inaomba setup tuu.
Ikashauriwa...
Habari za mida hii wakuu katika pita pita zangu mtandaoni nikakutana na hii smatphone ambayo imenivutia
Tatizo linakuja sijui duka gan hapa Tanzania zinakouzwa na bei yake pia sijafahamu...
Habarini Za Siku
Nina Hitaji kutengeneza Simple Video ya Maandishii Kama vile Lyrics Video zinavyotengenezwa Ambazo nitakuwa na play kwenye SCREEN yangu Watu waweze Kuona
Msaada Nifanyaje...
Nina Mlango wa dvd writer nikiweka cd yenye kitu inasoma vizuri lakini nikiweka empty cd inasema insect CD (haionekani kabisa). Msaada plz tatizo ni nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.