Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
wakuu ni app gani inaweza kufaa kuflash sim aina ya vodafone iwe inasupport lain tofauti na voda? Natanguliza shukurani
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Nifanyeje wakuu juu ya tatizo hili? Maana Nina Tecno WX3 hi inadownload na kufungua mafaili bila shida na wakati huo hii TECNO SPARK 2 inadownload mafile lakini haifungui.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari ya majukumu wanajamvi. Samahani kuna dogo anasimu mbili na anataka kuuza moja. Kanipmba ushauri lakini mimi sina ujuzi kuhusu ipi ni simu nzuri. Hizi simu zina miezi 2 tangu apewe kama...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Kabla sijaishobokea hebu nipeni ABCs za hii simu maana mm ni mshabiki was cm za Samsun
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Oy wana jf Nina pc yng mpya aina ya HP kila nikijaribu kudownload game kama pes 18 kuna sehem ya kuactivate key inasema sorry no offers for ur country this time kwa wale wataalam plz nisaidie...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Tips to Detect Invalid Click Activity 1) The CTR between 1% to 11% is usually considered normal. If CTR goes above 20% then you should consider doing something about it. If you get 25 clicks in...
0 Reactions
0 Replies
567 Views
Habari wadau, Akaunti yangu ya Gmail imejaa na nataka kuongeza plan kwa kuilipia ili niendelee kupata huduma, tatizo ni kuwa njia za kulipia wanaonesha nilipe kwa VISA tatizo ni kuwa sina...
1 Reactions
95 Replies
14K Views
Habari wanajamii forum Nimekuwa nikipata tabu sana katika kuielewa database hasa kipengele cha DATA RELATIONSHIP katika microsoft Access ambazo ni 1.ONE TO ONE RELATIONSHIP 2.ONE TO MANY...
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Nina siku tano nashindwa kutumia pc yangu kwa uhuru kwa sababu ya ttzo la keyboard na touch pad.... Nilitumia driver pack kudowload driver za audio kwenye pc yangu kilichojiyokeza ni kuanzisha...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kuna kipindi mlikutana humu mkaanzisha grup la whatsapp, nilikuwa masomoni, kwasasa nahitaji maujuzi, naomben link au utaratibu nijiunge , Asanteni
0 Reactions
0 Replies
741 Views
Wakuu naombeni msaada wa kuondoa password kwenye android phone aina ya CMX one ME. Njia nilizo jaribu 1. hard reset inafanikiwa lakini cm ikiwaka 1 minute password inarudi 2. Soft reset baada ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naomba kuuliza je kutumia inverter kwa matumiz ya ufundi simu je inafaa? Na iwe na sifa zip? Nahitaji kufungua banda la ufundi simu na laptop, sasa sihitaji kutumia umeme wa tanesko,nahitaji...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
ndugu wana familia naomba msaada wa kurudisha email yangu chanzo cha email kugoma kufunguka ni baada ya namba niliotumia kuifungulia kupotea na kutowezekana kuirudisha email ni ya google...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Wakuu habari za uzima!naitaji msaada wenu jinsi yakulitatua tatizo la simu Mara kwa Mara inaleta mwanga mweupe bila kudisplay maandishi yoyote Yale mpaka niizime niwashe Mara kadhaa ndio inakubali...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Nataka niwape dondoo kidogo namna ya kupata unlimited internet ya wiki/mwezi au hata mwaka www.your-freedom.net Your Freedom - ACCOUNT Ingia kwenye website hiyo hapo juu jaza taarifa zako zote...
6 Reactions
26 Replies
12K Views
Kama kichwa cha habari kinavyosema, naomba muongozo wa namna ya kuuza bitcoin zangu kule local bitcoins na kuepuka kutapeliwa, kwa waliowah kuuza bitcoins zao kule naomba kujua hatua kwa hatua za...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Imekuwa kawaida kwa emails za watu kubambwa katika hatua mbalimbali hadi kupitia kwa servers. Kuna hii email protonmail.ch au protonmail.com inakuepusha na shida hizo. Ukitumiwa email hakuna cha...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Kutokana na Errors nyingi zinazojitokeza katika computer kwenye uchezaji wa Game fulani leo naleta thread maalum kwa ajili ya kusaidiana kwenye kutatua errors hizo Error zipo nyingi sana pia...
4 Reactions
24 Replies
6K Views
Habar wakuu Mwenye kujua nin tatizo laptop inapoandika Non system disk or disk error Replace and strike any key when ready
0 Reactions
4 Replies
797 Views
Back
Top Bottom