Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Tujitahidi kuangalia clip za hivi na hata wajukuu na watoto tuwashawishi waangalie hizi clip, Yawezekana tunaweza kuvutika nasi tutengeneze vya kwetu.
0 Reactions
2 Replies
852 Views
Kuna wadau wanaomba ushauri kwamba wakisoma electronics watakuwa na uwezo wa kutengeneza radio, TVs na amplifier za Aina zote? na je, ni mpaka level gan ya electronic wataweza kutengeneza vitu...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
an operating system wasn't found.Try disconnecting any drivers that dont contain an operating system. PRESS CRTL+ALT+DEL to restart . Naandikiwa hivi pindi nkiwasha pc aina ya TOSHIBA SATELLITE
0 Reactions
7 Replies
930 Views
Habari wanajukwaaa Msaada nina laptop yangu hapa imeanza kusumbua batani, Kuna baadhi ya batan hazitaki kubonyezeka. Kuna Q,W,E,R,T,Y,U,I,O,P Pamoja na enter haifanyi kazi. Hapo tatizo litakuwa...
0 Reactions
5 Replies
815 Views
Jamani anaye ijua vizuri lg v10 au aliye wahi kutumia naomba ushauri wenu nataka kununua ipo vizuri kikamera, betry, storge yake pia mengine ambayo cjayataja mtayaongezea shukrani,karibuni kwa...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Habari za majukumu kaka na dada zangu hapa jf. Samahani ninataka kubadiri gmail account kwenye play store ya simu yangu lakini nashindwa. Natumia samsung galaxy grand prime pro. Naombeni...
1 Reactions
9 Replies
9K Views
You have secret connections and you wish to hide all traces of communication? Then this software is for you! This application allows hiding SMS messages, deleting records from system calls log and...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Habari wadau? Nimekua nikizipitia hizi platforms kwa muda ila bado sijapata jibu kamili!! Je kati ya magento na woocommarce ni ipi nzuri hasa kwa website inayotarajiwa kuwa products nyingi...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Nimepata simu aina ya Alkatell inatumia laini moja tu tena voda na upande mmoja tu. Upande wa pili haisomi lain yoyote hata ukiweka voda inadai password isiyojulikana. Unaweza ku isaidia
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari zenu wana JF Naomba mtu ambae atakua anaju wapi unaweza kupata hii cm Nokia E6-00 Nokia E5-00 au kama kuna mtu anaiuza iwe kwenye good condition ani pm nahiitaji sana. Asanteni
1 Reactions
53 Replies
7K Views
Siku hizi kila mara au kila Siku utasikia na kuona Watu mbalimbali ambao wanafanya makosa mbalimbali ya Kimtandao wanakamatwa na Mamlaka husika kiurahisi sana kisha wanashtakiwa na kwenda kuanza...
3 Reactions
40 Replies
6K Views
Habari za mida hii waku..... Kichwa cha habari hapo juu chahusika Hi cm natumia tecno k7 cjui ina matatizo gan yan nikiwa natuma txt za kawaida hazitoki nikiwa nimeeka neno sex yan ni...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
TUNADESIGN WEBSITE NZURI, yenye kubeba Maudhui ya biashara yako, shirika,NGO's,Shule,Kanisa ama kampuni yako,ni kwa gharama nafuu Kabisa. Ni aina gani ya Website Unahitaji? 1.Website ya Chuo au...
1 Reactions
0 Replies
667 Views
Ndg wanajamvi heshima kwenu! Nina huawei tajwa hapo juu natamani kui root nitumie app ipi ili niweze kufanikisha kwa ufanisi?
0 Reactions
3 Replies
795 Views
Habari JF.... Jamani my Canon camera lenzi yake imestuck...yani haitoki nje yote...sijui nielezaje but ndo hivyo. Ilianguka kune mchanga bahati mbaya, sa sijui kuna particles ziliingia mana hata...
1 Reactions
5 Replies
989 Views
wana jf, naomba msaada wa bei ya ku host web tanzania ,size ya 2gb na bei ya domain name registration kwa makampuni ya kitanzania bei ningependa kujua jinsi ya kuwasilisha malipo
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Habari wana jukwaa! Nilikuwa naomba kujua kiundani kabisa kuhusu hizi chanell za YouTube. Kuna channel ambayo niliipenda sana na mara nyingi huwa napenda kuiangalia, kama huyu ndugu yetu...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Habarini wadau, Nina king'amuzi Cha Azamu toka Juzi naona kinaniandikia hivyo, nimeenda mpaka kwenye factory default bado tatizo Ni lile lile, Kwa uchunguzi mdogo nimegundua dogo alichomeka...
0 Reactions
9 Replies
6K Views
Heri ya mei mosi! Leo nilikuwa nataka kumquote mtu flani kwenye comment yake, lakini nilishazoea kubonyeza sehemu ya Reply lakini nikajikuta nimebonyeza sehemu ya Quote ukatokea ujumbe huu...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
msaada, kwa wale ambao wamejiunga na seebait, hivi kwenye kurequest money kuna njia zipi, maana sina bank acc. napenda kujua kama wanaweza kukutumia kwenye mobile payments zetu kama vile m pesa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Back
Top Bottom