Kwa mtaalamu yeyote wa Android naomba anisaidie namna ya kutatua tatizo hili kwenye simu yangu.
Lilianza kwa line moja ila kwa sasa linasumbua kwa line zote mbili. Simu ni Redmi3S Android version...
Habari wakuu,
Naomba msaada wa kitaalamu,
Simu yangu Samsung grand prime plus nili erase ila kwa sasa imeniletea colour ambayo nikifungua picha zinaonekana na hiyo colour.
Nawasilisha wakuu
Habari za majukumu wadau wa hii page?
Naombeni msaada wa mawazo. Nina laptop aina ya HP EliteBook 2540 p toka jana nikibonyeza keyboard hairespond mpaka ubonyeze kwa muda mrefu kama simu za...
Nimekuwa mtumiaji wa samsung smartphones tangu galaxy s2, sasa nafikiria kubadili brand, kupata new expirience. Nimevutiwa na hii oneplus 6 ina specs nzuri, na good reviews but sina uhakika kuhusu...
Wakuu habari.. Polen na majukumu ya kulijenga taifa letu pendwa!! /
Nimefunga king'amuzi cha startimes cha dish na kinafanya kazi vyema.. Pia nina decoder ya startimes ile ya antena niliyokuwa...
Nikitumia simu yangu kuingia JF kabla sija log in nakuta tayari imeshaniandikia jina ni kujaza passwad tuu nashindwa ku off hili tatizo maana wasiwasi wangu kama akashika simu yangu mtu mwingine...
Habari za wakati huu wadau, naomba msaada kwa wataalamu wa computer. computer yangu imezima ghafla nimejaribu kutoa betri na kuirudisha tena lkn wap, nimejaribu kubadilisha adapter pamoja na betri...
Habari Zenu wakuu? Nina shida kujua jinsi ya kuweza kuitumia ipad 3 kwa kupiga simu na kutuma text messages za kawaida, inasupport sim card but huwezi piga simu wala kutuma text za kawaida pia...
Habari Wana JF mimi ni Graphics designer nilikua nahitaji niwe na photo studio nahitaji wazoefu WA mambo wanijuze no vitu gani vya msingi vya kuanza navyo ambavyo vinafaa, Nina kompyuta na Camera...
Wakuu,
Nimepotelewa na Simu juzi. Kwa mujibu wa watu kadhaa, inasemekana kwasasa Simu inaweza kupatikana hata kama watatoa Line. kuiflash, etc. Naomba mwongozo na mtiririko mzima wa jinsi ya...
Habarini laptopnyangu (HP probook 6360) imegoma kuwaka ghafla karibu wiki sasa .baada ya kukaa mayo muda naichunguza nikagundua vitu vichache
1. Nikichomeka charger moto unaingia na taa ya...
Amani iwe pamoja nanyi wakuu.
Kwa wale wadau wa smartphones hasa wale wanaoelewa internal (software) specs na external(hardware) , Chaguzi ipi inaweza ikawa sahihi kwa mtu anyetaka kununua...
Msaada wakuu, juzi nilikuwa napitia MUST prospectus nikakutana na iyo course ya MechTronics sasa nimepata maswali mengi kuhusiana na hii course bila majibu
1. Hii course ina contains both...
Kwa mtaalamu yeyote wa Android naomba anisaidie namna ya kutatua tatizo hili kwenye simu yangu.
Lilianza kwa line moja ila kwa sasa linasumbua kwa line zote mbili. Simu ni Redmi3S Android version...
Samsung yatangaza tatizo kwa simu za galaxy s5 s6 s7 na note4 kuwa na tatizo la system ui
ambapo huji reset yenyewe na kufuta data zote
jinsi ya kutatua tatizo
uwena na
-earphone za samsung
-usb...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.