Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Guys, nina hiyo simu naiangalia kama picha nimejaribu vyote sijaambulia kitu, google play haisomi, nimepata Estore inabagua apps, Amazon store ndio kabisaa apps nyingi hakuna. Anayejua hizi...
1 Reactions
68 Replies
8K Views
Habari za muda huu ndugu zangu.. poleni na swaumu kwa wale ndugu zangu waislamu.. Nimeandika codes za website kwa kutumia HTML na CSS (static website) na natamani nizifanye kuwa dynamic website...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kama heading inavyojieleza, ninahitaji msaada kwa yeyote mwenye window ten activator na adobe photoshop. Natanguliza shukrani zangu za dhati.
0 Reactions
2 Replies
997 Views
Kufanya "factory data Reset" kuna Limit? Je ukifanya mara kwa mara inaweza kusababisha madhara?
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Enyi users wa Iphones, naomba msaa wa apps za free za mziki kwa IOS 11.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau tafadhali, Ninahitaji msaada simu yangu imeganda hapo then nimejaribu sana kudownload firmware zake nyingi kwenye site ya samsung ila bado sijapata ambayo inaingiliana na hii. Naomba...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Hivi hawa jamaa watatumia njia gani kutubana ili kila blogger alipe Tukipata mbinu watakazo tumia ndio tuje na solution Nawasilisha
0 Reactions
6 Replies
887 Views
TV Dish installer accredited,how to get it please
0 Reactions
0 Replies
466 Views
habari wataalamu naomba . mwenye link ya cracked version ya dr fone anisaidie au mwenye key zake nimejaribu ku search online napelekwa kwenye site fake kila muda sijafanikiwa. shukrani
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nimekuta comp yangu ina Virus crab ransomware, File zote zimeongezewa extension ya .crab kama xlsx.crab virus ame encrypt all files and pictures na ukifungua inakuja makorokochoo tu
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Msaada n program gani inatumikabkutengeneza social network app
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Wakuu, nilikuwa na install App ya Whatsapp kupitia Google play.Likaja neno downloading pending na hivyo kukwamia hapo kazi niliyokuwa naifanya. Niliposhuka chini ndipo nikakutana na maneno...
0 Reactions
10 Replies
974 Views
Nina project yangu inakaribia kufika hatua za mwisho kabisa ila kuna baadhi ya vitu ninapata shida jinsi ya kupata solution yake. Na shida yenyewe ni kwa upande wa mobile money payment yani...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Naombeni msaada namna ya kufunga king'amuzi cha azam tv coz nikiset inasoma intensity75 quality 25 kwa Morogoro naombeni msaada
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Hello jf expert Naamini mu wwzima, Leo nipo hapa kupata ushauri wenu Nataka kufungua website na sio blog. Nimejaribu kutafuta ideas Nikapata zifuatazo: 1. Classified website 2. Educational...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nina kitabu nataka nikiweke online watu wakipate dunia nzima na pia nikiwekee mfumo wa kukilipia mtu akikitaka lazima alipie ndo akipate. Msaada hapo nifanyeje?
1 Reactions
0 Replies
781 Views
Kwa yeyote anaejua bei ya kioo cha hyo simu anisaidie itakua ni kias gan kinagharim...Nawasilisha
0 Reactions
1 Replies
1K Views
msaada wa haraka wakuu, Namna ya kutoa FASTBOOT mode kwenye Tecno spark9. Naomba mnisaidie
1 Reactions
14 Replies
6K Views
Cisco Issues A Warning; Half A Million Routers Have Been Hacked - Latest Hacking News
0 Reactions
4 Replies
764 Views
Hi guys, Nimeona maelezo mengi mfano kwa kiwango na wengineo kuhusu kuunlock aina hii ya modem na mimi nilishawahi kufanya hili jambo. Lakini nimefeli na sababu hasa ni pale ambapo ninapoanza...
0 Reactions
2 Replies
877 Views
Back
Top Bottom