Habari za kaz wakuu!!
Samahan Nimesha install hii bluestacks sasa nikiifungua inaload muda mrefu ,Mara unatokea ujumbe huo pichani ..
Nisaidien nifanyeje hapo
You will be paid $10 per month for each month you are active in the programYou will be paid $15 per month for each referral that signs up for the project within 30 days of you joining the program...
Ninaomba msaada nina printer yangu tajwa nikiprint inatoa kazi chafu sana karatasi yote,tatizo linaweza kuwa lini wakuu? ninaomba msaada wa haraka niko na wateja hapa.
Baada ya miaka 10 ya kutumia TECNO sasa nimehamia Samsung,
Tatizo linalonisumbua sipati sms na notification za wasap, jf, fb kwa wakati,
Yaani mpaka niifungue application husika ndio sms na...
je ni kweli kuna kitu kinaitwa copyright remover?
Ndio ipo, je ni software gani nzuri hutumika?
je youtube hubaini copyright kwenye audio tu?
hapa na visual pia, kivipi?
je video za music...
The drive is not ready for use; its door may be open. Please check drive A: and make sure that a disk is inserted and that the drive door is closed.
Inaandika hayo maneno hapo juu na inajirudia...
Wadau naomba mwenye uelewa na hili anisaidie ni nini kinafanyika, ni hivi kuna mtu ana uwezo wa kufunguwa simu yangu hata nikibadili password mbalimbali lakini yeye anaifunguwa bila shida.
Sasa...
TAFADHALI USITUMIE SIMU KWENYE GIZA UNAWEZA KUWA KIPOFU.
Mdogo wangu Daktari justice Authur, ambae ni daktari kule africa kusini ameniomba kuwagawia hii na nyie pia. Amesema ni muhimu sana.
Hivyo...
Wasalaam
Wakuu kwa mliowahi kutumia hizi flat za star x na mnaotumia je uimara wake upo vp, ni nzuri kwa matumizi?
Naombeni ushauri wenu nisije nikala hasara , ushauri ni muhimu kama zinadumu...
Mvulana mmoja wa darasa la saba nchini Australia aliyejulikana kwa jina la Orley Fenelon mwenye umri wa miaka 12 amefanikiwa kujitambulisha kama waziri mkuu wa nchi hiyo kwa siku mbili mwishoni...
Zipo nyumba ambazo swala la shading kwenye solar panels juu ya paa haliepukiki kutokana na nature ya paa lenyenyewe lilivyopauliwa ("complicated roofs") au kutokana na nyumba za jirani...
Nahitaji saa za mkononi kama tano nataka kujua brand ipi ni nzuri na safe, Pia naomba nijue saa hizo zinaweza kuwa na GPS ila zisiwe smart watch, Je nta sychronous vipi majira ili saa zote ziende...
Kwa wale wataalam wa computer naomba msaada kwenu kila nikifungua application kwenye computer yangu inanileta 'window32 application error'. Hili tatizo limeanza hivi kalibuni kwa application zote...
Habari wadau!
Naomba msaada kwa ambao washawahi kufanya manunuzi kwenye mtandao wa ebay.com
Kwani nimefanya manunuzi kwa mara kadhaa lakini napata majibu ambayo siyaelewi na ninachokusudia kununua...
Habari zenu wakuu wataalamu wa haya mambo ya web hosting... Naomba kufahamu.. Hosting plan ipi?? (kutoka kampuni za hosting za mbele/kama vile hostigator nk...) hosting plan ipi ambayo inaweza ku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.