Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Nilikuwa nataka nibadili domain mfano jamira.com kwenda naima.com website ni mpya kwahiyo najua haiwezi kuniletea effect yeyote kwenye kuwachanganya wafuasi natumia hostinger nakaribisha mchango wenu
0 Reactions
3 Replies
880 Views
Naomba kujua aina nzuri ya processor!! ipi ni nzuri zaidi kua nayo unaponunua computer
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Kama mwaka mmoja uliopita mozilla walitangaza project yao mpya inayoitwa project quantum, lengo lake ni kuimprove engine yao ya Gecko ili iwe ya kisasa zaidi, improvement hii mpya inaitwa servo...
5 Reactions
42 Replies
6K Views
Dell inspiron 15.6 " 3567 ....6th Gen core i3-6006u processor speed 2.3Ghz hard disk 500GB ...screen normal ....hii laptop Tanzania inaweza ikagharimu shilingi ngapi ikiwa mpya
0 Reactions
3 Replies
598 Views
Habari wanajukwaa baada ya simu niliyokuwa nayo kusombwa na mafuriko, Sasa ni wakati wa kununua simu nyingine na katika kuangalia nikaona kuwa kati ya simu hizo mbili sina sifa nizitakazo maana...
2 Reactions
43 Replies
6K Views
Wadau msaada plz kwa anayejua routing number ya bank ya barclays hapa Tz.
1 Reactions
6 Replies
4K Views
Nilikuwa na simu yangu.... VIWA MAX...ilipata creack ya kioo cha nje...niliifungua nikaenda kununua kioo cha nje ila nilipata sana shida kukipata... Kipindi naifunga hii simu bahati mbaya kioo cha...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu naomba msaada wa link za hiyo TV happy juu inisaidie kuangalia MPIRA muda wowote asanteni
0 Reactions
4 Replies
862 Views
Msaada kwa hili tatizo nililolitengeneza wapendwa,nimevurugwa hapa nilipo.
2 Reactions
49 Replies
5K Views
hey brothers and sisters nataka tushee hii trick of mine kutumia line yoyote ya mtandao wowote kwenye modem yoyote unayoitaka wewe bila ku unlock,(tigo, voda na airtel) Fata hizi step...
21 Reactions
113 Replies
14K Views
Wakati Mtandai wa simu TTCL unahamià Katika simú za Mkononi walsema wao wanatoa huduma kwa njia ya 3G na 4G hivyo wateja wenye simu ambazo hazina uwezo huo hawatapata mawasiliano. Yaani kama una...
1 Reactions
5 Replies
4K Views
Natumia Smart TV ambapo humo ndani kama nikitaka kufanya mirroring kuna teknolojia ya Intel®wireless display, ambapo unaweza kuunganisha devices nyingine kama Laptop, tablet, na smartphone: Kwa...
1 Reactions
18 Replies
4K Views
Nina WiFi rooter e5573 ya tigo nimejaribu kuiflash Kwa firmware inaleta error 19 anaejua kuziunlock Kwa njia nyengine msaada
0 Reactions
0 Replies
636 Views
Katika ndege vita zipo nyingi kutokana na matakwa ya watengenezaji ila kati ya hizi ipi ina sifa ya kupambana kivita? ========Update======== Top 10 Incredibly Advanced Fighter Jets in 2017 |...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
NI galaxy s6 flat (haina edge). Andriod vision ni 6.0.1. Nahitaji ifikie android vision 8.0, but nimeshindwa. Nime jaribu njia inayojulikana sana...yani setting>about phone> software update...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Jana nimejiunga na kifurushi cha kwako tu kwa 1500 wakanipa 1GB na dk145 ila cha kuchekesha hii bando siwezi kufungua site yeyote yenyewe ni whatsapp na fb tu. Ukifungua youtube bila bila ila...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Nifanye nn kwa wale waataalmu wa pc game.... Game nying pc yangu hai. Meet minimum requirements naweza fanya ktu gan ili niweze kuzchezaa na sasa sina pesa ya kununua pc yenye uwezo mkubwaa
1 Reactions
41 Replies
11K Views
Habari wakuu, naomba msaada wa ushauri nataka nunua laptop kwa matumizi ya kawaida, ipi ni nzuri na naweza pata wapi kwa DSM ambazo c fake. Please, help me.
0 Reactions
26 Replies
7K Views
Ripoti mpya inayohusiana na ukarabati wa simu, imezitaja aina kumi ya simu za android zinazoongoza kwa ubovu. Ripoti hii imebainisha utendaji kazi mbovu wa system ya Android kama ndio chanzo...
1 Reactions
53 Replies
9K Views
Wasalam wandugu! Ningependa kujua kama inawezekana kutatua hili. Simi yangu ni huawei cun l21 hizi za voda kila nikijaribu kubadilisha line namba 1 niweke airtel badala ya voda ambayo naweka line...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom